data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,151
- 22,726
Mkuu bila Shaka umelipwa usiku huu....Wewe umejuaje yote hayo kama Public haifuatilii?
Kwanza Mimi nimeona taarifa za CAG ikabidi niulize Je miaka ya nyuma nako CAG alikuwa anaenda kusoma taarifa upya Bungeni tena Ile Ile aloyosoma mbele ya Rais au ni utaratibu Mpya?.
Mwisho hii ya kuwasilisha taarifa Bungeni harafu mjadala wake unakuwa mwezi Novemba-Disemba ni upuuzi.