Hakuna Mwananchi anafatilia wabunge ambao hawakuchagua.Sikujua kama kulikuwa kuna vikao vya bunge vikiendelea..
Nimeshangaa sana kumbe kuna bunge, tena kubwa kabisa kuelekea bajeti.
Inashangaza sana.
Hata zile clips kutoka bungeni siku hizi hazipo tena.
Hata wakiporudisha hakuna mwenye habari navyo.Walianza kwa kuzuia vikao visirushwe live, tukawapuuza mazima.
Upatikanaji wa Wabunge wakati wa Uchaguzi ulikuwa wa kihuniSikujua kama kulikuwa kuna vikao vya bunge vikiendelea..
Nimeshangaa sana kumbe kuna bunge, tena kubwa kabisa kuelekea bajeti.
Inashangaza sana.
Hata zile clips kutoka bungeni siku hizi hazipo tena.
Yaani mimi ndiyo najua kupitia kwako kama kuna kikao cha bunge daaa!.Sikujua kama kulikuwa kuna vikao vya bunge vikiendelea..
Nimeshangaa sana kumbe kuna bunge, tena kubwa kabisa kuelekea bajeti.
Inashangaza sana.
Hata zile clips kutoka bungeni siku hizi hazipo tena.
Na mii kama wewe nimejua kupitia wewe 😂😂😂😂😂Yaani mimi ndiyo najua kupitia kwako kama kuna kikao cha bunge daaa!.
Hilo ni bunge la ccm, na ccm haina mvuto.Sikujua kama kulikuwa kuna vikao vya bunge vikiendelea..
Nimeshangaa sana kumbe kuna bunge, tena kubwa kabisa kuelekea bajeti.
Inashangaza sana.
Hata zile clips kutoka bungeni siku hizi hazipo tena.
Nakusalimia sis 😂🙏Bunge la waliopita bila kupingwa hata miswada na bajeti inapita bila kupingwa, halina hamasa ya kuangalia.!!
Hunipi nafasi nikapumua kila thread unanifata, umefanya mpk nimefungiwa kuchangia ule uzi wa shangazi wa maporini 😂😂😂😂Nakusalimia sis 😂🙏
Karibu, Bunge jipya lina hali mbaya! Serikali itafanaje kuliokoa Bunge ili kuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni?Sikujua kama kulikuwa kuna vikao vya bunge vikiendelea..
Nimeshangaa sana kumbe kuna bunge, tena kubwa kabisa kuelekea bajeti.
Inashangaza sana.
Hata zile clips kutoka bungeni siku hizi hazipo tena.
Kwani kati ya sisi watatu nani ajafungiwa ,😂😂😂😂😂🙌🙌🙌😂..Hunipi nafasi nikapumua kila thread unanifata, umefanya mpk nimefungiwa kuchangia ule uzi wa shangazi wa maporini 😂😂😂😂
Ss hivi nimeokoka nimehamia jukwaa la siasa umenifata 😇
Hata mimi nilikua sijuiYaani mimi ndiyo najua kupitia kwako kama kuna kikao cha bunge daaa!.
Kama Mwanajamii forum hafatilii hilo Bunge fikiria Mwananchi wa kawaida ana hali gani?Cha kushangaza Leo ripoti ya CAG imesomwa na kesho TAMISEMI wanasoma bajeti yao, ila Public haifuatilii kabisa.