Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,894
- 6,414
Nyinyi mnakosa mambo. Leo Waziri Jenista Mhagama alikuwa anaongea kuhusu juhudi kubwa zilizofanywa na serikali kukomesha madawa ya kulevya,halafu mnasema Bunge halina mvuto?
Bunge la majizi liko kama uji wa baridi usio na sukari.😂Bunge Imara, Makini na Lenye weledi kama Bunge la Tanzania haliwezi kamwe kupoteza mvuto ingawa hilo sio la Muhimu sana , kwamba eti bunge liwe na mvuto, ili iweje sasa 🐒
Bunge makini hufuatiliwa kwa umakini Zaidi na watu makini, wenye bidii, mahiri na wenye maono na dhamira si tu ya kujua kinachojadiliwa bungeni bali pia kujua uelekeo mujarabu wa Taifa lao, mama Tanzania 🐒
Binafsi,
nalipongeza sana kwa namna ambavyo shughuli zinavyoendeshwa mjengoni, kwa Uhuru, uwazi na usawa sana miongoni mwa wabunge wote..
Asanti sana speaker, naibu speaker na wenyeviti wote wa bunge, kwa namna wanavyoongoza vikao vya bunge na kamati vizur sana 🐒
God bless Tanzania
Hata akisema hakuna mwenye muda na hao matapeli.Nyinyi mnakosa mambo. Leo Waziri Jenista Mhagama alikuwa anaongea kuhusu juhudi kubwa zilizofanywa na serikali kukomesha madawa ya kulevya,halafu mnasema Bunge halina mvuto?
kwamba mmejitafuta hamjioni 🤣Bunge la majizi liko kama uji wa baridi usio na sukari.😂
Utafuatilia vipi bunge lisilotokana na wananchi?Bunge linaendelea kama mtu sio mfatiliaji huwezi kujua, na hii haihitaji kutangaziwa na mabango kila kona kama michezo
Fatilia masuala ya nchi yako ujue nchi yako, ama subiriwa utafuniwe na vyombo vya habari katika vipaumbele wanavyoviteua wenyewe
Hakuna mzalendo hukokwamba mmejitafuta hamjioni 🤣
roho zinawaumaaaa🐒
wazalendo wawakilishi wa wanainchi wanachapa kazi bila mbambamba
mzalendo uko nje sio 🤣Hakuna mzalendo huko
Ova
Mtu kama wewe ukiulizwa unataka taifa lako liwe la ngapi duniani kwa wananchi wake kuwa na furaha, bilashaka utajibu wananchi wawe na furaha ili iweje?? wananchi kuwa na furaha kwako sio kitu muhimu.Bunge Imara, Makini na Lenye weledi kama Bunge la Tanzania haliwezi kamwe kupoteza mvuto ingawa hilo sio la Muhimu sana , kwamba eti bunge liwe na mvuto, ili iweje sasa 🐒
Bunge makini hufuatiliwa kwa umakini Zaidi na watu makini, wenye bidii, mahiri na wenye maono na dhamira si tu ya kujua kinachojadiliwa bungeni bali pia kujua uelekeo mujarabu wa Taifa lao, mama Tanzania 🐒
Binafsi,
nalipongeza sana kwa namna ambavyo shughuli zinavyoendeshwa mjengoni, kwa Uhuru, uwazi na usawa sana miongoni mwa wabunge wote..
Asanti sana speaker, naibu speaker na wenyeviti wote wa bunge, kwa namna wanavyoongoza vikao vya bunge na kamati vizur sana 🐒
God bless Tanzania
Ni magufuli kuweke mabumunda kama akina tuliaSikujua kama kulikuwa kuna vikao vya bunge vikiendelea..
Nimeshangaa sana kumbe kuna bunge, tena kubwa kabisa kuelekea bajeti.
Inashangaza sana.
Hata zile clips kutoka bungeni siku hizi hazipo tena.
Wew watu wenye akili walishakuuza
Hata Mimi sifuatilii ule upuuzi wa akina tuliaKama Mwanajamii forum hafatilii hilo Bunge fikiria Mwananchi wa kawaida ana hali gani?
😂😂😂
Hii Ni hatari kwa taifa... Unaweza shangaa tushauzwa bila kujua..Cha kushangaza Leo ripoti ya CAG imesomwa na kesho TAMISEMI wanasoma bajeti yao, ila Public haifuatilii kabisa.
Wewe ndio umepoyeza mvuto,mbona Bunge linafuatiliwa sana na Wananchi Toka limeanza kuwa live?Sikujua kama kulikuwa kuna vikao vya bunge vikiendelea..
Nimeshangaa sana kumbe kuna bunge, tena kubwa kabisa kuelekea bajeti.
Inashangaza sana.
Hata zile clips kutoka bungeni siku hizi hazipo tena.
Wewe umejuaje yote hayo kama Public haifuatilii?Cha kushangaza Leo ripoti ya CAG imesomwa na kesho TAMISEMI wanasoma bajeti yao, ila Public haifuatilii kabisa.
baada ya kuruhusu uuzaji wa bandari lilijivua gamba na kuitwa gengeYaani mimi ndiyo najua kupitia kwako kama kuna kikao cha bunge daaa!.