Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 40,295
- 68,851
Hili bunge uwepo wake na kutokuwepo vyote ni sawa tuNa mii kama wewe nimejua kupitia wewe ๐๐๐๐๐
Hili bunge uwepo wake na kutokuwepo vyote ni sawa tuNa mii kama wewe nimejua kupitia wewe ๐๐๐๐๐
Bunge la mchongoNini kimefanya bunge lipoteze mvuto!?
La ovyo kabisaHilo ni bunge la ccm, na ccm haina mvuto.
Tulia basi na huku tusifungiwe, ukitaka kuchachuliwa nitag kwenye uzi uliosuswa chit chat ๐Kwani kati ya sisi watatu nani ajafungiwa ,๐๐๐๐๐๐๐๐๐..
๐๐๐๐๐
Mi nakusalimia tu lakini ahahahahah coca hajambo.?
Weeeeh usiseme hivo watakusikia ๐๐๐๐๐๐๐Hili bunge uwepo wake na kutokuwepo vyote ni sawa tu
Sawa sis ๐Tulia basi na huku tusifungiwe, ukitaka kuchachuliwa nitag kwenye uzi uliosuswa chit chat ๐
Kesho naanza kufatilia basiWeeeeh usiseme hivo watakusikia ๐๐๐๐๐๐๐
Ushaanza ushaanza ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐Bunge la mboga mboga sifatilii halina jipya
HahaaBunge la mboga mboga sifatilii halina jipya
Natumia uhuru wangu kusema kile ninachokiona wee dogo vipi?? ๐๐๐Ushaanza ushaanza ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Kuna mods wanakufatilia ujue eeeh endelea
Halafu kila mwanaume anayenipenda wa mboga mboga sijui kuna shida gani?? ๐๐๐Hahaa
Sis sio mi vipi...๐๐๐Natumia uhuru wangu kusema kile ninachokiona wee dogo vipi?? ๐๐๐
Kimbia kama ukoma...ukila pesa yake utailipa tu. Hawana utuHalafu kila mwanaume anayenipenda wa mboga mboga sijui kuna shida gani?? ๐๐๐
Kwender ๐๐๐Sis sio mi vipi...๐๐๐
Ila najaribu tu kuku alert
๐๐๐Kimbia kama ukoma...ukila pesa yake utailipa tu. Hawana utu