Nini kimefanya bunge lipoteze mvuto?

Nini kimefanya bunge lipoteze mvuto?

Sikujua kama kulikuwa kuna vikao vya bunge vikiendelea..

Nimeshangaa sana kumbe kuna bunge, tena kubwa kabisa kuelekea bajeti.

Inashangaza sana.

Hata zile clips kutoka bungeni siku hizi hazipo tena.
Tatizo lenu nkiingiza mtandaoni mnagoogle porn, kufatilia mipira, umbwa, lkn kutaka kujua Nini kinaendelea nnchini Amna .... Umeona hatabulivyo malizia hapo mwisho eti clips za kutoka bungeni Hamna.... Embu sikiliza redio na uchague unataka kusikiliza nn
 
Bunge linaendelea kama mtu sio mfatiliaji huwezi kujua, na hii haihitaji kutangaziwa na mabango kila kona kama michezo

Fatilia masuala ya nchi yako ujue nchi yako, ama subiriwa utafuniwe na vyombo vya habari katika vipaumbele wanavyoviteua wenyewe
hakuna mtu mwenye akili timamu atakaye poteza mda wake kwa kufatilia bunge la hovyo
 
Sikujua kama kulikuwa kuna vikao vya bunge vikiendelea..

Nimeshangaa sana kumbe kuna bunge, tena kubwa kabisa kuelekea bajeti.

Inashangaza sana.

Hata zile clips kutoka bungeni siku hizi hazipo tena.
Bunge Imara, Makini na Lenye weledi kama Bunge la Tanzania haliwezi kamwe kupoteza mvuto ingawa hilo sio la Muhimu sana , kwamba eti bunge liwe na mvuto, ili iweje sasa πŸ’

Bunge makini hufuatiliwa kwa umakini Zaidi na watu makini, wenye bidii, mahiri na wenye maono na dhamira si tu ya kujua kinachojadiliwa bungeni bali pia kujua uelekeo mujarabu wa Taifa lao, mama Tanzania πŸ’

Binafsi,
nalipongeza sana kwa namna ambavyo shughuli zinavyoendeshwa mjengoni, kwa Uhuru, uwazi na usawa sana miongoni mwa wabunge wote..
Asanti sana speaker, naibu speaker na wenyeviti wote wa bunge, kwa namna wanavyoongoza vikao vya bunge na kamati vizur sana πŸ’

God bless Tanzania
 
Sikujua kama kulikuwa kuna vikao vya bunge vikiendelea..

Nimeshangaa sana kumbe kuna bunge, tena kubwa kabisa kuelekea bajeti.

Inashangaza sana.

Hata zile clips kutoka bungeni siku hizi hazipo tena.
Kuna maelekezo na ukosoaji mwingi yalio jaa maxhggshshjeknbshsk kutoka kwa CAG inatia hasira tu maana sijui zinaenda kujadiliwa na bunge la nchi gani hata...πŸ€·β€β™‚οΈ
 
Tatizo lenu nkiingiza mtandaoni mnagoogle porn, kufatilia mipira, umbwa, lkn kutaka kujua Nini kinaendelea nnchini Amna .... Umeona hatabulivyo malizia hapo mwisho eti clips za kutoka bungeni Hamna.... Embu sikiliza redio na uchague unataka kusikiliza nn
Acha uwongo kwenye google imeanza leo?mbogamboga ziro kabisa.
 
Sikujua kama kulikuwa kuna vikao vya bunge vikiendelea..

Nimeshangaa sana kumbe kuna bunge, tena kubwa kabisa kuelekea bajeti.

Inashangaza sana.

Hata zile clips kutoka bungeni siku hizi hazipo tena.
Kwani kuna wabunge au mkusanyiko wa chawa wanaotafuna rasilimali zetu kila mtu kwa urefu wa kamba yake
 
Back
Top Bottom