MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,299
Wadau nawasabahi.
Ni wazi wenye akili zetu tunajua kuwa tanzania hakuna bunge bali kuna vikao vya ccm ndani ya bunge. Wabunge wa CCM hupitia mambo yote kabla hayajaingizwa bungeni huyajadili na kufikia muafaka na wale kina mpina mnao wasikia wanapinga pinga ni danganya toto kwani yote walishayajadili kwenye vikao cha CCM pale bungeni.
Wabunge wa CCM mle bungeni zile kelele zote ni danganya toto mwisho wa yote ni kukubaliana kile walichokijadili kwenye chama chao kwa kifupi.
Tanzania maamuzi mnayoyasikia ni ya bunge sio ya bunge ni ya CCM bunge hutwisha mzigo usio wake hata suala la bandari na dp world lilijadiliwa sana na wabunge wa CCm kabla ya kupelekwa bungeni na bunge kuridhia sio bunge ni CCM imeridhia.
Kwa hiyo iwapo bandari yetu itauzwa basi ni CCM imeuza kwani imeshiriki kikamilifu.
Ni wazi wenye akili zetu tunajua kuwa tanzania hakuna bunge bali kuna vikao vya ccm ndani ya bunge. Wabunge wa CCM hupitia mambo yote kabla hayajaingizwa bungeni huyajadili na kufikia muafaka na wale kina mpina mnao wasikia wanapinga pinga ni danganya toto kwani yote walishayajadili kwenye vikao cha CCM pale bungeni.
Wabunge wa CCM mle bungeni zile kelele zote ni danganya toto mwisho wa yote ni kukubaliana kile walichokijadili kwenye chama chao kwa kifupi.
Tanzania maamuzi mnayoyasikia ni ya bunge sio ya bunge ni ya CCM bunge hutwisha mzigo usio wake hata suala la bandari na dp world lilijadiliwa sana na wabunge wa CCm kabla ya kupelekwa bungeni na bunge kuridhia sio bunge ni CCM imeridhia.
Kwa hiyo iwapo bandari yetu itauzwa basi ni CCM imeuza kwani imeshiriki kikamilifu.