Doh! Kumbe?
Nimeimiss mno!
Hiyo sikuifuatilia. Hiyo imetuibulia wanamziki wepi?
Tusker Project Fame ilikuaga nzuri sana. Imenijia picha ya Judge Hermes from Tanzania
Sanaaa.Sie wachungaji tukisikia Tusker tunafikiria ni zile mambo za wanzuki kumbe ilikua na mambo mazuri?
Kuna kale ka judge kalikua kanoko kakijana kananyoa upara nimeshasahau jinaTusker Project Fame ilikuaga nzuri sana. Imenijia picha ya Judge Hermes from Tanzania
Lakini walikua wanatengeneza nyimbo nzuri. Mfano Ololufe ya pili ile ni balaaNdio maana haikuninogea
Namkumbuka yule Mzee anavaa miwani Mkenya. Alikua rude balaa. Hermy B ndo alikuaga mpole Kama sura yakeKuna kale ka judge kalikua kanoko kakijana kananyoanupara nimeshasahau jina
Ian?Kuna kale ka judge kalikua kanoko kakijana kananyoa upara nimeshasahau jina
Lakini walikua wanatengeneza nyimbo nzuri. Mfano Ololufe ya pili ile ni balaa
Kali balaaRemix sijui nyie mlioenda shule mnaziita hivyo, zilikua kali sana.
Yeah judge IanIan huyo. Nilikuwa nampenda anavyowachana live bila kumung'unya maneno