1. Zanzibar ya Harmonize.
Niliposikia tangazo lake la kutoa wimbo wake wenye jina hilo nikajua tunaenda kusikia bonge la wimbo utakaotetemesha si tz tu bali afrika mashariki yote. Matokeo yake hiko kitu kilichotoka ni bora angeupa jina jingine tu. Yaani kibao ni hovyo hata kile cha yule mwanamuziki wa Afrika kusini alichokitoa miaka ya 70s kama sio 80s ni bora mara 10. Alipoteza muda wake na wetu kweli mmakonde yule.
2. Yalaiti ya alikiba
Akiwa ametoka kutoa kibao safi kabisa cha mahaba, ingawa nacho alikiharibu kwa kile cha so lonely, akatusisimua mashabiki wake kwa kututangazia ujio wa kibao cha yalaiti akishirikiana na mwanadada fulani. Kutokana na umaarufu wa jina hilo kutokana na kibao matata kilichoimbwa miaka hiyo na dada yetu shakila, basi tukajua kijana huyu kajipanga kweli kutoa kitu kitakachotikisa. Matokeo yake sijui waliimba nini na waliimbaje sijui?
Tuongeze list wadau......
Niliposikia tangazo lake la kutoa wimbo wake wenye jina hilo nikajua tunaenda kusikia bonge la wimbo utakaotetemesha si tz tu bali afrika mashariki yote. Matokeo yake hiko kitu kilichotoka ni bora angeupa jina jingine tu. Yaani kibao ni hovyo hata kile cha yule mwanamuziki wa Afrika kusini alichokitoa miaka ya 70s kama sio 80s ni bora mara 10. Alipoteza muda wake na wetu kweli mmakonde yule.
2. Yalaiti ya alikiba
Akiwa ametoka kutoa kibao safi kabisa cha mahaba, ingawa nacho alikiharibu kwa kile cha so lonely, akatusisimua mashabiki wake kwa kututangazia ujio wa kibao cha yalaiti akishirikiana na mwanadada fulani. Kutokana na umaarufu wa jina hilo kutokana na kibao matata kilichoimbwa miaka hiyo na dada yetu shakila, basi tukajua kijana huyu kajipanga kweli kutoa kitu kitakachotikisa. Matokeo yake sijui waliimba nini na waliimbaje sijui?
Tuongeze list wadau......