Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,177
- 7,699
Kumekua na jitihada nyingi ingawa sio halisi za kupambana na ufisadi mpaka ukaundwa Mahakama ya mafisad! Binafsi naamin katika sheria kali ambazo zitapatikana kupitia katiba mpya.
Hatuwez kamwe kupambana na ufisadi, rushwa na ubadhirifu wa mali za umma kwa mfumo huu wa utawala na katiba iliyopo. Kibaya zaid anaepigana na ufisadi ndio wa kwanza kuwapa kinga supika plus jaji!! Nchi hii uzalendo bado sana!
Hatuwez kamwe kupambana na ufisadi, rushwa na ubadhirifu wa mali za umma kwa mfumo huu wa utawala na katiba iliyopo. Kibaya zaid anaepigana na ufisadi ndio wa kwanza kuwapa kinga supika plus jaji!! Nchi hii uzalendo bado sana!