Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,195
- 4,551
Safi kaka familia za kibongo hata mtu awe na uwezo wa kifedha kuweka tu hose reel nyumbani mtihani, kuna fire alarm kifupi kuna mengi ngoja niuandae uzi vizuri tuzidi pashana habariunapojenga nyumba yako binafsi jaribu kuweka escaping root ya siri ambayo ni wewe, mkeo au yeyote mkubwa ndani ya nyumba ndio mtakuwa mnaijua..
Jitahidi nyumbani kwako kuwa na fire extinguisher kubwa na medium na hakikisha watu wote kuanzia dada wa kazi na watoto wanajua namna ya kutumia, jitahidi kufanya fire drills nyumbani kwako na kuwatrain namna ya kutumia fure extinguisher.
Ukiwa uko vizuri funga fire suppression system ndani, joto likifika degree kadhaa vinafyatuka na kuanza kuuzima huku wazimamoto wanasubiriwa..
Kwa wale wenye madirisha yetu haya ya nondo au hizi grills, jitahidi ndani kuwe na hydraulic jack na ikitokea dharula piga jack dirisha okoa walio ndani kwenye hiyo njia..
Kama unaweza kujilinda na vibaka achana na hii minondo na machuma kwenye madirisha yako weka vioo tu kwenye dharula kinavunjwa tu, milango tuachane na hii mininga na mageti baadala yake tumieni MDF kwenye dharula teke moja unatoka nao tu..
Mungu mwenyezi mwingi wa rehma atuepushe na majanga kama haya na amfanyie wepesi majeruhi apone haraka na awape pumziko jema marehemu.
Tatizo zile nondo kwenye madirisha. Nadhani ni muhimu nyumba iwe na milango mitatu. Moto ukianzia sebleni mnatokea milango mingine. Milango mingine isitokee sebleni.
Pia huu mfumo wa kuweka nondo madirishani inabidi tuache.
Maana ukitokea moto kutoka ni haiwezekani.
Hili mmelizungumzia wajumbe wengi lkn mmesahau suala la moshi linakunyima pumzi na kushindwa kuona mbele je ktk hili unafanyeje?Moto ukitokea ghafla kwenye harakati za kujinasua unatakiwa ujimwagie maji mwili mzima huku ukiwa umevaa nguo nzito nzito. Sasa namna hii inabidi uwe 'sharp' hata kuwavalisha wengine na kisha kuwamwagia maji walowane chapachapa halafu ndo unatafuta njia ya kutokea utapita kwenye moto bila ya madhara makubwa mwilini.
Kama nguo umechelewa unavaa hata shuka au blanketi au godoro lakini sharti liwe limelowa chapachapa ,viatu pia muhimu.
Badala ya darini zinapita sakafuni nyumba nyingi asaiv zinapigwa wiring kwa style hiyoLakini wiring si huwa nyaya zinapita juu kwenye mbao halafu zingine zinapita ndan ya ukuta.kama za kwenye hizi socket za taa pamoja na zile za kuchomeka external cable sijui na vingine ..?
Si ndo hivyo unavyosema ndo ilivyo ,
Yaani kuna nyaya lazima zipite juu kwenye mbao na zingine zipite ukutani .
Ila kama unamaanisha main switch iwe nje kwenye kichumba hiyo ndo itakuwa mbaya zaidi.maana kuutoa umeme kutoka kwenye main switch kwenye hicho kichumba nje kuuweka tena ndani ni balaa .
Na hizo nyaya hapo katkati itabidi ufunge ma nguzo mkuu ama ?
Yote hiyo ni sababu ya umaskini,vijana ni wengi kuliko wazee na halafu watu wanaambiwa waendelee kuzaa katika dimbwi hili la umaskini. Vicious circle..... ila vibaka sasa Victoire wanaweza kuhamia kufanya party kila week au mwezi
Yote hiyo ni sababu ya umaskini,vijana ni wengi kuliko wazee na halafu watu wanaambiwa waendelee kuzaa katika dimbwi hili la umaskini. Vicious circle.
Wengi wanaweka nondo madirishani sababu ya kuhofia wizi hasa huku kwetu uswahilini,Tatizo zile nondo kwenye madirisha. Nadhani ni muhimu nyumba iwe na milango mitatu. Moto ukianzia sebleni mnatokea milango mingine. Milango mingine isitokee sebleni.
Pia huu mfumo wa kuweka nondo madirishani inabidi tuache.
Maana ukitokea moto kutoka ni haiwezekani.
Tunaweka Nondo kwa sababu ya weziTatizo zile nondo kwenye madirisha. Nadhani ni muhimu nyumba iwe na milango mitatu. Moto ukianzia sebleni mnatokea milango mingine. Milango mingine isitokee sebleni.
Pia huu mfumo wa kuweka nondo madirishani inabidi tuache.
Maana ukitokea moto kutoka ni haiwezekani.
Ila kama hii mbinu ya kininja vile?. Ongezea hapo hapo vaa kabisa manguo mazito mazito,ikiwezekana jifunge blanket,halafu jitumbukize kwenye jaba la maji au jifungulie bomba,ukiwa unejifunga hilo blanket au koti,ikulowanishe tepetepe,halafu tokaNenda kwenye maplastic unayoifadhia maji kajimwagie yote afu wakati moto unapambana kukausha maji uliyojimwagia we unapita kininja katikati ya moto
Kibaya zaidi msipokuwepo home mlango wa chumban mnafunga.. sasa sijui majanga yanatokea mkiwepo tuu???Mimi nadhani ni muoga sana, chumbani kwangu tuliacha nafasi ndogo ya mtu kupita tukaweka mlango usio na komeo na tukapaka rangi vizuri hata ukiwa nje huwezi jua kama pale ni mlango ambao likitokea lolote mtu anapiga teke unafunguka.
Vyumba vyote nimetoa funguo na nimewaambia watoto likitokea lolote wakimbilie chumbani kwangu.
Mwisho wa yote tusisahau Muomba Mungu atuepushe maana kama ilipangwa ufe kwa moto haijalishi umechukua tahadhari gani utakufa tu
kuna nyumba nilipanga kulikuwa na hako kadirisha bhana..WEZI waliniibia mara 2 kwa kupitia kwenye hiko kidirisha..cjui walijuaje WASHENZI wale...ilibidi nimwambie baba mwenye nyumba aniruhusu niuchomelee tu hako kamlngo ka dirishanKitu kingine ni kuweka mlango wa dharura kwenye dirisha. Unaweka kamlango kadogo kwenye grili labda la chumba cha baba na mama na unalifunga na kakufuli kadogo ambako kakipigwa hata nyundo kanaachia.Watu wote wambiwe ikitokea dharura wakimbilie kwenye hicho chumba.
Huu ushauri unawafaa akina Mo sio sisi akina Mwamedi.Jenga underground exit way ambayo itakua connected kwenye kila chumba so kikinuka unazama underground unasepa kiulaini kama le professor na crue lake kwenye Series ya Money heist.
Huu ushauri unawafaa akina Mo sio sisi akina Mwamedi.
Huu ushauri unawafaa akina Mo sio sisi akina Mwamedi.
Tatizo zile nondo kwenye madirisha. Nadhani ni muhimu nyumba iwe na milango mitatu. Moto ukianzia sebuleni mnatokea milango mingine. Milango mingine isitokee sebleni
Pia huu mfumo wa kuweka nondo madirishani inabidi tuache.
Maana ukitokea moto kutoka ni haiwezekani.