Serikali inatarajia kufungua geti lingine kuanzia Leo Kwa kiasi cha lita 700,000 Kwa dakika moja na pia kumbuka hili bwawa Lina mageti 9 ambayo nayo yaneshajaa maji Hadi...
Ndugu zetu wa rufiji wapo kwenye wakati ngumu Sana na mafuriko, kama wiki inayoanza kesho itakuwa na mvua mkubwa basi maafa yatakuwa makubwa mno na ikitokea siku hayo mageti 9 yakipausuka itakuwa mwisho wa wilaya ya rufiji