kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
Gazeti letu pendwa na huru la mwananchi limekuwa likiripoti habari ya mke wa kigogo wa polisi kuwatapeli vijana bila kutaja jina la huyo kigogo wala la mke wake (yalikuwa yakihifadhiwa) ila leo baada ya kesi kubadili uelekeo ndo majina yametajwa, 'kuwa mke wa chagonja awapeleka vijana polisi kwa kumtapeli' Mi nauliza ndg zangu nini ilikuwa dhamira ya hawa jamaa kuyahifadhi hayo majina mpaka kusubiri upepo wa kesi ubadilike?