Emmanuel180
JF-Expert Member
- Dec 17, 2019
- 342
- 626
Hivi wale wadada ambao ukiwatongoza wanakukataa kata kata tena anaweza hata kukuaminisha siwezi kundate na mtu kama wewe maisha yangu lakini ukiwakaushia na wewe ukaendelea na harakati zako muda wanakuja kukutafta tena afu yeye anakua serious zaidi hua kinakua kimewatokea nini maana mimi hua nashangaa tu