Nini hutokea mafyoso 2 wanapokutana?

Nini hutokea mafyoso 2 wanapokutana?

Indume Yene

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
2,968
Reaction score
727
Angalia picha hiyo kisha utoe maoni yako. What happens when 2 fyosoz meet?

kikwete_rostam1.jpg



0436341d26c3410fcf7499626c04_grande.jpg



 
Muda si mrefu tutawasikia na hawa marafiki wakitikisika.
Sina hakika hiyo ndo iliimewekwa hapo pembeni kwa Museveni kwa ajili ya nini.


610x.jpg
 
Viongozi wa Afrika wanafikiri nchi wanazotawala ni mali yao. The bomb is ticking, wasipowahi watajikuta wamechelewa. Rais wa Sudan naye kawazuga wananchi wake kuwa haogombei tena uchaguzi ujao baada ya kuwa madarakani tangu 1989. Hii inatokana na upepo unaotokea Afrika ya Kaskazini. Zenawi naye kawafanya wananchi wake kama mazezeta, sijui hiki kimbunga itakuwaje...

8E9U1723.jpg
 
Huyu Zenawi amefanya Ethiopia kama ya kwake, kama vile hakuna kiongozi mwingine anaweza kuongoza. It's just matter of time utawasikia.

439x.jpg
 
Huyu Zenawi amefanya Ethiopia kama ya kwake, kama vile hakuna kiongozi mwingine anaweza kuongoza. It's just matter of time utawasikia.

439x.jpg

Gaddafi aliwahi kumshawishi Museveni kuwa, sanduku la kura lisikutoe madarakani kwa sababu si kura zilizokuweka madarakani bali mtutu wa bunduki.....
 
Muda si mrefu tutawasikia na hawa marafiki wakitikisika.
Sina hakika hiyo ndo iliimewekwa hapo pembeni kwa Museveni kwa ajili ya nini.


610x.jpg
Mkwele kama kawaida yake!kuchekacheka tu !hata kwenye mambo muhimu!!
 
Muda si mrefu tutawasikia na hawa marafiki wakitikisika.
Sina hakika hiyo ndo iliimewekwa hapo pembeni kwa Museveni kwa ajili ya nini.


610x.jpg

M7 pose lake si la kisanii bali fulu kujiachia, mwenzake ni model lazima akae kisanii zaidi ili picha ipendeze!
 
Back
Top Bottom