Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,968
- 727
Zote zinaswihi, kasoro hii hapa!
Mwenzako akinyolewa, ficha wembe.
![]()
Huyu Zenawi amefanya Ethiopia kama ya kwake, kama vile hakuna kiongozi mwingine anaweza kuongoza. It's just matter of time utawasikia.
![]()
Mkwele kama kawaida yake!kuchekacheka tu !hata kwenye mambo muhimu!!Muda si mrefu tutawasikia na hawa marafiki wakitikisika.
Sina hakika hiyo ndo iliimewekwa hapo pembeni kwa Museveni kwa ajili ya nini.
![]()
Mdictector waliobobea barani Afrika!!
Muda si mrefu tutawasikia na hawa marafiki wakitikisika.
Sina hakika hiyo ndo iliimewekwa hapo pembeni kwa Museveni kwa ajili ya nini.
![]()