cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,297
Wee ni muongo, mwaka m1 hata jeneza bado halijashikwa na mchwa, hizi picha ni za kutunga hapa.duuh afu kuna member anasema eti miaka kumi 13 na bado hajaoza š
Wee ni muongo, mwaka m1 hata jeneza bado halijashikwa na mchwa, hizi picha ni za kutunga hapa.duuh afu kuna member anasema eti miaka kumi 13 na bado hajaoza š
wewe unavojua wadudu wanatoka ardhini si ndio?? Kama ni hivyo sio kweli mtu akifaa hua mwili mzima unavimba sana , ukija kubasuka wale wadudu huanza kushambulia ngozi ikiwa tayari sehemu za ndani zimeshaliwa vibayaWee ni muongo, mwaka m1 hata jeneza bado halijashikwa na mchwa, hizi picha ni za kutunga hapa.
Pole mshikaji wangu, mungu akutue nguvu na imaniAhsante š¢
Inawezekana kuna mazingira yalisababisha, ingawa sio KAWAIDA.Mie sio nimesikia, hii ilitokea kwetu, ni baba angu mkubwa, kizazi ki1 na baba angu mzazi,
Baba mkubwa alizikwa wilaya nyingine, sasa ule usumbufu wa kwenda kufagilia na kuombea, ilibidi afukuliwe kule na aletwe kuzikwa ktk makaburi waliyozikwa ndugu wengi, ili iwe rahisi ktk kuzingatia kufagilia na kuombea.
Alizikwa 2008 na tulifukua 2021, tulimkuta yuko safi, ila maeneo ya tumboni ndo paliharibika, ila kwingine yuko safi kabisa,
Kucha ndefu, nywele ndefu, ila kakauka sana yuko kau kau.
Na hii hufanyika hadi kupata kibali cha polisi.
Sasa nashangaa hapa huyu anayo yaeleza inakuajee. Khaaah
Sasa ule si ni mwili tu unazikwa?Mimi ninawaza tu siku ya kufa kwangu,,usiku wangu wa kwanza makaburini sijui itakuaje,,watu wamekuzika na kuondoka, giza limeingia, hakuna marafiki, wala ndugu, umeme wala ulinzi, hiki ndo kinanipa uoga sana nitakapofariki
Bas sawaaInawezekana kuna mazingira yalisababisha, ingawa sio KAWAIDA.
Lakini tafiti maelfu kuhusu nini hutokea kwenye mwili baada ya kifo ziko nyingi -open source kabisa - ni kwenda kusoma tu..
Amen nashukuru sanaPole mshikaji wangu, mungu akutue nguvu na imani
Aione ABDULY, Mama Yake na RostaaamuSiku ya 3 - kucha huanza kuanguka /kutoka mikono na miguu
Siku ya 4- Nywele huanza kutengana na fuvu la kichwa.
Siku ya 5- ubongo huanza kuyeyuka na wadudu huanza kula
Siku ya 6- Ngozi huanza kuwa nyeusi tii na kuanza kuchubuka
Siku ya 7- Tumbo huanza kuyeyuka kutokea mdomoni na sehemu za siri huanza kutoa harufu kali sana.
Siku ya 60 - Mwili wote unakuwa tayari umetafunwa na vidudu na kubaki mifupa tu.
Ni mwisho wa
Dharau zako.
Kiburi chako.
Majivuno yako.
Chuki zako.
Tamaa zako.
Ukiwaza sana kifo, unabaki kujiuliza tu kwamba tulizaliwa iweje sasaYani inakuja tu nashangaa hata usiku wa manane naanza kumuwaza sijui huko yukoje masikini š¢
Hakuna anayezikwa bila Doctor kuhakikisha amefariki na vijijini wapo pia wataalamu,wanaojua huyu kafariki au yuko haiMbaya zaidi ufufuke kule chini na hata ukiita hawasikii. (Uzikaji wa waislamu kumbe mtu kazimia.)
Yani nikiwazaga hili huwa naona bora uendelee kujipigia mbunye hadi siku ukitwaliwa basiMwanamume unazaliwa uteseke mwisho wa siku ufe