Kuna watu huwa hamna ubinadamu hata kidogoSiku ya arobaini shingo huvunjika huachana na kiwiliwili
Mjomba Mimi naacha usia wanipige kibiriti wakishindwa naweka undugu na wahindi kuzikwa sio kitu chepesi huwa tunawapeleka wenzetu tu ila tunapowaacha sio sehemu salama kabisanani akuchome hawawezi watakuzika tu
Mwili unaweza kukakaa huko kaburini hata mwezi bila kiungo chochote kung'oka. NINA UHAKIKA KATIKA HILI.Leta ukweli wako nikupe reference zakutosha
Yani inakuja tu nashangaa hata usiku wa manane naanza kumuwaza sijui huko yukoje masikini 😢Doh pole sana, jitahidi sana usiwaze hayo.
Ahsante nashukuruPole Evelyn
Narudia NINA UHAKIKA, sasa kama wewe unasoma theories huko kwenye mavitabu endelea kuamini. Hii inatokana na aina ya uzikaji. Naishia hapa.one month a u serious?
Aisee pole sana Evelyn40 days, tangu nimzike mtoto....kila siku namuwazia sijui yukoje huko kaburini 😭😭😭
Nashukuru ahsanteAisee pole sana Evelyn
Polee nilifiwa na ndugu yangu ambaye nilimpenda sana kuliko mtu yeyote hapa DunianiYani inakuja tu nashangaa hata usiku wa manane naanza kumuwaza sijui huko yukoje masikini 😢
Asee pole sana Sister40 days, tangu nimzike mtoto....kila siku namuwazia sijui yukoje huko kaburini 😭😭😭
Nashukuru ahsanteAsee pole sana Sister