Nini husababisha hii kitu?

Unachokijaribu kukiwasilisha hapa niliwahi kukipitia, Katika maisha yangu nimepevuka wasichana nilio date nao ni wachaga. Wasichana wa makabuka mengine hatukai hata mwezi tushazinguana ila nikipata mrembo wa kichaga Mahusiano yanakaa sana hadi nimejikuta Nauliza kabila la mtu kabla sijaingia sana maana hawa wachaga nimewashindwa ila sasa ndio hao huwa nadumu nao angalau. Ila sasa hivi natafuta dada wa kidigo au Wanyamwezi sema ndio hivyo hiyo Bahati hamna.
 
Mimi huwa nawablock, nimeblock wapumbavu kana 50 hivi, nani kawaambia nataka matangazo? Saa zingine unaacha kazi zako za maana unaenda kutazama text, unafikiri ni muamala kumbe ni upumbavu unaoitwa matangazo.
dah mitandao ya simu wanazingua simu zetu wamegeuza viwanja vya matangazo na TCRA wanaangalia tu mi kwa siku napokea sms za matangazo ata 20 zinafika
 
Na unaweza usipate au ukapata msidumu
 
Wasukuma (k) ni asilimia 14 ya Watanzania, kwa hiyo lazima wakutongoze
 
Kama ni wachagaa unapenda hela sister
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…