Nini humfanya mwanaume kuwa mwanaume?

Nini humfanya mwanaume kuwa mwanaume?

Hata akiongea vitu havieleweki Nikae kimya?
Inaonyesha unapenda kumuongoza kwa kila kitu. Lazima umtoe kasoro. Mwache aongoze usionge wakati yeye anaongea.....mfano rais akiongea wote kimya.
Sio ujifanye wewe ndio kiongozi wa kila kitu...atakukimbia...
Maana matatizo ya wadada wa sasa wanataka wao ndo wawe wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapa kwenye kama ya koffi sasa
Mpe majukumu sio kila akirudi ulishanunua kila kitu umejaza ndani, mwambie sina hiki na kile uku umebana pua, akikununulia nguo hata kama hujaipenda mwambie asante nimeipenda hata kama ipo kama ya Koffi [emoji23][emoji23][emoji23] {mapenzi jamani}

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heshima ya namna gani, kumsujudu au kufanyaje hapo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiwe Muongeaji Sana mbele yake, msikilize zaidi

Usipende kujiamulia mambo, muombe awe kiongozi ktk kile ulichokiamua.

Usimjibu akikasirika, hata Kama anafoka

Usipende humhoji Sana, mambo yake ya fedha hata Kama mtaj umempa wewe.

Mengine ntaongezea baadae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka yangu wanaume wa sasa hivi mafurushi cc Jael.
Mwanaume anataka mwanamke amuhakikishie kama akija kwako atalala, atakula bure mboga atachagua yeye (kama vile anatoa chapaa) atabadilisha Station, utamnnunulia na mb.
Yeye kazi yake kusokomeza jiboro.
Na usishangae mdada anaamka asubuhi kwenda kazini au kwa biashara zake bwana kabaki ndani kalala au kabet.
Wamebaki wanaume wa ovyo ovyo tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu sio mwanaume ni shoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpe majukumu sio kila akirudi ulishanunua kila kitu umejaza ndani, mwambie sina hiki na kile uku umebana pua, akikununulia nguo hata kama hujaipenda mwambie asante nimeipenda hata kama ipo kama ya Koffi [emoji23][emoji23][emoji23] {mapenzi jamani}

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpe pesa alipe bill yeye mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Ampe nini???? Shwaini pesa nitafute mimi nimpe mwanaume alipe bili????,.... Yaani nalipa kila kitu popote na nitamgombeza hata mbele za watu akitaka aanze kutafuta pesa abebe majukumu,.... Mwanaume aliumbwa kutafuta kwa jasho sio amekaa kaa tu kama mzigo wa mavi mie nitafute pesa, nibebe mimba, nizae kwa uchungu mkali, halafu eti nilidekezedekeze tuuuu kulipatia pesa lijione kidume kumbe marioooo.....

Asimpe pesa alipe bill wala nini, amwambie huyo mwanaume ajishughulishe, Heshima ya mwanaume ni kuwajibika kama nature inavyotaka, sio kulialia tu oooh hunipi nafasi kama mwanaume heeeeeeey shit

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wanajukwaa. Samahani kidogo,

Nimekutana na changamoto moja kwenye mahusiano lakini nikaambiwa tatizo simfanyi mpenzi wangu kuwa MWANAUME.

Kiukweli sijaelewa ni kivipi naweza mfanya awe mwanaume.

Msaada wenu tafadhali ili nielewe vizuri hapa namna ya kumfanya awe mwanaume.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulishawahi ona nafasi ya Baba vile Mama anavyomfanya ama anavyomchukulia na anavyowafundisha watoto mumuoneje?
 
Back
Top Bottom