Hata Kama Wewe ndie mwny Ela
Mkitoka out, mmetumia wote.
Usiwe kimbelembele kulipia bili
Sent using Jamii Forums mobile app
basi jaribu kurejea mazungumzo yenu kabla hajatoa hiyo kauli, unaweza ku-guess alichomaanisha specifically..
Mpe ndogo..
😂 😂 😂 😂 😂 , ana maana umpe Buzz Ni Bomba,
Mwanaume
- Mpe nafasi ya kiongozi
- Muheshimu
- Mthamini
- Mpe kipaumbele .... maongezi, attention nk
- usimpuuze, maana huona umemdharau na .....
Kama umeolewa nitakupa jibu, yaani nakusudia mume (Maana sisi wake zetu huwa wanatufanya tuwe wanaumea hasa) , ila kama ni mpenzi ile mnasogeza siku,acha niendelee kusoma maoni ya wadau.Habari wanajukwaa. Samahani kidogo,
Nimekutana na changamoto moja kwenye mahusiano lakini nikaambiwa tatizo simfanyi mpenzi wangu kuwa MWANAUME.
Kiukweli sijaelewa ni kivipi naweza mfanya awe mwanaume.
Msaada wenu tafadhali ili nielewe vizuri hapa namna ya kumfanya awe mwanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naongezea tu ya kuwa hili unatakiwa ulijiue :Habari wanajukwaa. Samahani kidogo,
Nimekutana na changamoto moja kwenye mahusiano lakini nikaambiwa tatizo simfanyi mpenzi wangu kuwa MWANAUME.
Kiukweli sijaelewa ni kivipi naweza mfanya awe mwanaume.
Msaada wenu tafadhali ili nielewe vizuri hapa namna ya kumfanya awe mwanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume
- Mpe nafasi ya kiongozi
- Muheshimu
- Mthamini
- Mpe kipaumbele .... maongezi, attention nk
- usimpuuze, maana huona umemdharau na .....