Habari wanajukwaa. Samahani kidogo,
Nimekutana na changamoto moja kwenye mahusiano lakini nikaambiwa tatizo simfanyi mpenzi wangu kuwa MWANAUME.
Kiukweli sijaelewa ni kivipi naweza mfanya awe mwanaume.
Msaada wenu tafadhali ili nielewe vizuri hapa namna ya kumfanya awe mwanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekutana na changamoto moja kwenye mahusiano lakini nikaambiwa tatizo simfanyi mpenzi wangu kuwa MWANAUME.
Kiukweli sijaelewa ni kivipi naweza mfanya awe mwanaume.
Msaada wenu tafadhali ili nielewe vizuri hapa namna ya kumfanya awe mwanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app