Ampe nini???? Shwaini pesa nitafute mimi nimpe mwanaume alipe bili????,.... Yaani nalipa kila kitu popote na nitamgombeza hata mbele za watu akitaka aanze kutafuta pesa abebe majukumu,.... Mwanaume aliumbwa kutafuta kwa jasho sio amekaa kaa tu kama mzigo wa mavi mie nitafute pesa, nibebe mimba, nizae kwa uchungu mkali, halafu eti nilidekezedekeze tuuuu kulipatia pesa lijione kidume kumbe marioooo.....
Asimpe pesa alipe bill wala nini, amwambie huyo mwanaume ajishughulishe, Heshima ya mwanaume ni kuwajibika kama nature inavyotaka, sio kulialia tu oooh hunipi nafasi kama mwanaume heeeeeeey shit
Sent using
Jamii Forums mobile app