Nini humfanya mwanaume kuwa mwanaume?

Nini humfanya mwanaume kuwa mwanaume?

Inaonyesha unapenda kumuongoza kwa kila kitu. Lazima umtoe kasoro. Mwache aongoze usionge wakati yeye anaongea.....mfano rais akiongea wote kimya.
Sio ujifanye wewe ndio kiongozi wa kila kitu...atakukimbia...
Maana matatizo ya wadada wa sasa wanataka wao ndo wawe wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuongoza kunakuja na 'What you bring on the table".

Ukiona mwanaume anasema hapewi nafasi ya kuwa mwanaume, shida iko hapo.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kaka yangu wanaume wa sasa hivi mafurushi cc Jael.
Mwanaume anataka mwanamke amuhakikishie kama akija kwako atalala, atakula bure mboga atachagua yeye (kama vile anatoa chapaa) atabadilisha Station, utamnnunulia na mb.
Yeye kazi yake kusokomeza jiboro.
Na usishangae mdada anaamka asubuhi kwenda kazini au kwa biashara zake bwana kabaki ndani kalala au kabet.
Wamebaki wanaume wa ovyo ovyo tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hata huko kusokomeza ni kwamashaka tupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpe majukumu sio kila akirudi ulishanunua kila kitu umejaza ndani, mwambie sina hiki na kile uku umebana pua, akikununulia nguo hata kama hujaipenda mwambie asante nimeipenda hata kama ipo kama ya Koffi [emoji23][emoji23][emoji23] {mapenzi jamani}

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuongoza kunakuja na 'What you bring on the table".

Ukiona mwanaume anasema hapewi nafasi ya kuwa mwanaume, shida iko hapo.
Then km wewe ni mdada na haleti kitu mezani na hiko ndo kitu cha maana kwako then leave him tafuta atakayekuletea kitu mezani. Sababu hata km haleti kitu bado ni Mwanaume na atahitaji heshima yake. Leave him alone why umdhalilishe wakati hana cha kukufanya umuheshimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Then km wewe ni mdada na haleti kitu mezani na hiko ndo kitu cha maana kwako then leave him tafuta atakayekuletea kitu mezani. Sababu hata km haleti kitu bado ni Mwanaume na atahitaji heshima yake. Leave him alone why umdhalilishe wakati hana cha kukufanya umuheshimu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Respect is earned not granted.

Mwanaume ukianza kumlalamikia demu wako kwamba hakufanyi kuwa mwanaume, jitathmini kwenye hiyo relationship.
 
Hilo ni la msingi sana mwanaume anayehudumia na kujua uanaume wako automatic ataheshimika tu.
Yaani lazima aheshimiwe na yeye anajiona Jabari bonge la bwana jogoo hasa.
Kuongoza kunakuja na 'What you bring on the table".

Ukiona mwanaume anasema hapewi nafasi ya kuwa mwanaume, shida iko hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini kwa nini mpaka aambiwe? He is a man. For God's sake
Mwanaume wa kuambiwa ni mzigo huko mbeleni.
Mpe majukumu sio kila akirudi ulishanunua kila kitu umejaza ndani, mwambie sina hiki na kile uku umebana pua, akikununulia nguo hata kama hujaipenda mwambie asante nimeipenda hata kama ipo kama ya Koffi [emoji23][emoji23][emoji23] {mapenzi jamani}

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka yangu wanaume wa sasa hivi mafurushi cc Jael.
Mwanaume anataka mwanamke amuhakikishie kama akija kwako atalala, atakula bure mboga atachagua yeye (kama vile anatoa chapaa) atabadilisha Station, utamnnunulia na mb.
Yeye kazi yake kusokomeza jiboro.
Na usishangae mdada anaamka asubuhi kwenda kazini au kwa biashara zake bwana kabaki ndani kalala au kabet.
Wamebaki wanaume wa ovyo ovyo tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mlipokuwa mnataka 50 fifty mlitegemea nini ?
 
Back
Top Bottom