OllaChuga Oc JF-Expert Member Jul 4, 2016 21,128 24,066 Aug 8, 2020 #41 Dah yani anapata kila kitu na anaishi USA halafu anakuwa na Sonona? Dah kweli Mungu hakupi vyote
goroko77 JF-Expert Member Jul 9, 2019 8,855 12,991 Aug 8, 2020 #42 Sonona Ni pale unapo toa mzingo wa mask. Za barakoa na kontena la sanitazer na umesha clear Kila kitu unaingiza tanzaniaa lzm upate sonona
Sonona Ni pale unapo toa mzingo wa mask. Za barakoa na kontena la sanitazer na umesha clear Kila kitu unaingiza tanzaniaa lzm upate sonona