Nini huleta Sonona?

Huyo mwanamama ni mwanaume alietengenezwa kuwa mwana mama amsapoti obama kama first lady!!!Mambo ya maabara hayo!!!
Yasemekana ni Transgender. Unahisi hili ndilo ,lina msakama nafsin mwake?!
 
Huamin kuwa anawwza sumbuliwa na hili swala??!?
Anajifanyisha 😄😄. Pesa wanazo..kutwa kutuonyesha mapenzi yao na Obama, nini tena anataka huyu maza?? Aje huku aone jinsi sonona ilivyotufanya tuwe sugu
 
  • Thanks
Reactions: amu
Anajifanyisha . Pesa wanazo..kutwa kutuonyesha mapenzi yao na Obama, nini tena anataka huyu maza?? Aje huku alone jinsi sonona ilivyotufanya tuwe sugu
Haha. Nawe wajiona sugu?? Au ni title unayo wakilisha uzoefu wa hali.
 
Nimekutana na taarifa ya Michele Obama, na tatizo la Sonona.

Hii Chini ni taarifa hiyo.

"Ninaamka usiku wa manane kwasababu nina wasiwasi juu ya kitu fulani au nawaza kuhusu mzigo mzito ninaoubeba moyoni." Mke wa Rais Mstaafu wa Marekani Barack Obama bi Michelle amekiri kuwa anaugua sonona (Depression).

Michelle alisema maneno hayo wakati wa kipindi chake cha pili alipokuwa anamuhoji mwanahabari wa Marekani Michele Norris. "Huu sio wakati mzuri, kiroho," Bi. Obama alisema. "Najua ninakabiliana na kiwango fulani cha sonona. "Sio tu kwasababu ya karantini, lakini kwasababu ya ubaguzi wa rangi, na kushuhudia tu utawala huu wa Donald Trump, na kutazama unafiki ndani yake, kila uchao, kunavunja moyo."

Bi. Obama alisema anapitia matatizo na amekuwa na changamoto ya kuendeleza ratiba yake ya kufanya mazoezi ya viungo na kulala.

Source: BBC Swahili


Je, nini hasa chanzo cha Sonona? Nimetumia Michelle Obama kama Case study.
Sonona husababishwa na upungufu mkubwa wa sukari kwenye ubongo.. Ubongo ukiwa hauna sukari huleta maumivu kwenye neurons ambayo huathiri hisia na kumfanya mtu kuwa na huzuni au wasi wasi kupita kiasi..
Upungufu huo wa sukari mainly husababishwa na ugonjwa wa kisukari ambapo mwili unashindwa kuyeyusha sukari au sukari kushindwa kuingia kwenye nerve cells na kumengenywa.
Tiba.
Hakuna tiba ya kudumu japo vifuatavyo vyaweza kusaidia.
1. Vitamin B complex- vidonge viwili vimezwe kila siku.
2. Viazi (chips) - angalau mlo mmoja kwa siku
3. Maziwa fresh
4. Tui la nazi
5. Drip ya D5 au RL au Glucose
6. Energy drinks (Mo, Azam, Redbull)
Kwa watakaobainika na kisukari waanze kutumia dawa kama Glibenclamide na Metformin.
 
Sonona husababishwa na upungufu mkubwa wa sukari kwenye ubongo.. Ubongo ukiwa hauna sukari huleta maumivu kwenye neurons ambayo huathiri hisia na kumfanya mtu kuwa na huzuni au wasi wasi kupita kiasi..
Upungufu huo wa sukari mainly husababishwa na ugonjwa wa kisukari ambapo mwili unashindwa kuyeyusha sukari au sukari kushindwa kuingia kwenye nerve cells na kumengenywa.
Tiba.
Hakuna tiba ya kudumu japo vifuatavyo vyaweza kusaidia.
1. Vitamin B complex- vidonge viwili vimezwe kila siku.
2. Viazi (chips) - angalau mloja kwa siku
3. Maziwa fresh
4. Tui la nazi
5. Drip ya D5 au RL au Glucose
Kwa watakaobainika na kisukari waanze kutumia dawa kama Glibenclamide na Metformin.

Ahsant, kwa kuchambua. Likn si husema namba mbili ni mbaya
 
Kwanini mleta mada unataka kujua kinachomsumbua Bibi Michele?
 
Kwanini mleta mada unataka kujua kinachomsumbua Bibi Michele?
Bi Michelle ni case study tu,.si tatizo lake pekeee. Unaweza jikuta unajiingiza ktk mazingira yakakueletea hayo, nahisi kujuzana muhimu
 
Sonona (depression) ni kiasi cha stress kilicho katika kiwango cha juu zaidi na huathiri utendaji wa akili na kwa sababu akili (intelligence) inazalishwa na ubongo (Brain) na ubongo ni kiungo cha mwili kilichounganika na kila part ya mwili hivo mtu mwenye depression yuko kwenye hatari sio tu kiakili bali hata kimwili na kupelekea uwezo wa kawaida wa mwili (physically) na huweza kuhisi au kuumwa homa, kuathirika kwa hormones, kutopata hamu ya vitu mbalimbali kama sex ,chakula, mood kuwa juu sana au chini saaana n.k

Stress is real na ni hatari sana, ukiona mtu analalamika sana kuhusu hizi mambo tafuta huduma haraka.
 
Back
Top Bottom