Nini hatma ya Dreamliners?

Nini hatma ya Dreamliners?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,072
Reaction score
136,482
Dreamliner ni moja ya aina za ndege zinazotengenezwa na kampuni ya Kimarekani ya Boeing.

Rais wetu huyu, tokea aingie madarakani kaweka moja ya vipaumbele vyake kulifufua shirika la ndege la taifa. Ufufuzi huo unaenda sambamba na ununuzi wa ndege, zikiwemo hizo zinazotengenezwa huko Marekani.

Sasa jana baada ya serikali ya Marekani kuweka kikwazo cha kusafiri dhidi ya baadhi ya Watanzania, serikali itajibu mapigo kwa kiwango gani?

Magufuli wakati mwingine huwa ni mtu wa mihemuko. Je, atasusa kuendelea kuzinunua hizo Dreamliners? Akizisusia Dreamliners atanunua ndege gani? AirBus?

Jumuiya ya Ulaya nao wakifuata mkondo wa Marekani je? Atasusa kuzinunua AirBus?

Akisusa kuendelea kuzinunua Dreamliners, hiyo iliyopo [hivi zipo ngapi kwani?] ataifanya nini? Ataiuza? Atairudisha?

Talk about being stuck in a rock and a hard place!

More like the rock [Jiwe] is now stuck in a hard place.
 
tapatalk_1580554635924.jpeg
 
Dreamliner ni moja ya aina za ndege zinazotengenezwa na kampuni ya Kimarekani ya Boeing.

Rais wetu huyu, tokea aingie madarakani kaweka moja ya vipaumbele vyake kulifufua shirika la ndege la taifa. Ufufuzi huo unaenda sambamba na ununuzi wa ndege, zikiwemo hizo zinazotengenezwa huko Marekani.

Sasa jana baada ya serikali ya Marekani kuweka kikwazo cha kusafiri dhidi ya baadhi ya Watanzania, serikali itajibu mapigo kwa kiwango gani?

Magufuli wakati mwingine huwa ni mtu wa mihemuko. Je, atasusa kuendelea kuzinunua hizo Dreamliners? Akizisusia Dreamliners atanunua ndege gani? AirBus?

Jumuiya ya Ulaya nao wakifuata mkondo wa Marekani je? Atasusa kuzinunua AirBus?

Akisusa kuendelea kuzinunua Dreamliners, hiyo iliyopo [hivi zipo ngapi kwani?] ataifanya nini? Ataiuza? Atairudisha?

Talk about being stuck in a rock and a hard place!

More like the rock [Jiwe] is now stuck in a hard place.

Tukuulize wewe mkuu jmbinu
 
Kuna ndenge zinategenezwa na urusi m23 ni zaidi ya boing

sent from toyota Allex
 
Dreamliner ni moja ya aina za ndege zinazotengenezwa na kampuni ya Kimarekani ya Boeing.

Rais wetu huyu, tokea aingie madarakani kaweka moja ya vipaumbele vyake kulifufua shirika la ndege la taifa. Ufufuzi huo unaenda sambamba na ununuzi wa ndege, zikiwemo hizo zinazotengenezwa huko Marekani.

Sasa jana baada ya serikali ya Marekani kuweka kikwazo cha kusafiri dhidi ya baadhi ya Watanzania, serikali itajibu mapigo kwa kiwango gani?

Magufuli wakati mwingine huwa ni mtu wa mihemuko. Je, atasusa kuendelea kuzinunua hizo Dreamliners? Akizisusia Dreamliners atanunua ndege gani? AirBus?

Jumuiya ya Ulaya nao wakifuata mkondo wa Marekani je? Atasusa kuzinunua AirBus?

Akisusa kuendelea kuzinunua Dreamliners, hiyo iliyopo [hivi zipo ngapi kwani?] ataifanya nini? Ataiuza? Atairudisha?

Talk about being stuck in a rock and a hard place!

More like the rock [Jiwe] is now stuck in a hard place.
Usiumize kichwa Mkuu, huyu kwa hali ILIVYO SASA inabidi TUMNG'OE TU. Akiendelea kuwa madarakani nchi itazidi kuangamia aisee.
 
Mike Pompeo is no dummy! Political ideologies aside, check his resume...


Hayo ni mambo ya kawaida sana sema mnapaniki tu bure, je mngekuwa kama Kenya Raisi wao hadi anapandishwa kizimbani Hague hizo travel ban wamepewa sana lkn bado USA ni largest trading partner wa Kenya kwenye hili eneo na sasa hata wanafanaya bilateral trading pact, maisha yanaendelea.

Hilo swala litaisha muda sio mrefu kuna kitu labda Serikali ya TZ don’t see eye to eye na USA wakitatua hilo kwisha habari na haina uhusiano wowote na ,, human rights abuse” !
 
Mungu ampe Magufuli busara ya mfalme Suleiman, amtimue Makonda afanye safari yake ya kwanza nje ya bara la Afrika aende akaombe msamaha bila hivyo kila mradi wake utabaki mashakani.
 
Back
Top Bottom