witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,836
- 47,731
Kwahiyo mkuu unanisaidiaje asee?Hiiiiiih. Mtu akisoma hiii comment ni lazima afikirie kuwa wewe ni ndugu wa kina P SQUARE kumbe hâta hawakujui, Daaah wabongo ni noma.

Kwahiyo mkuu unanisaidiaje asee?Hiiiiiih. Mtu akisoma hiii comment ni lazima afikirie kuwa wewe ni ndugu wa kina P SQUARE kumbe hâta hawakujui, Daaah wabongo ni noma.

Sina cha kukusaidia mkuu, ni vile tu comment yako ilinifurahisha sana.Kwahiyo mkuu unanisaidiaje asee?![]()
Sasa mkuu una uhakika gani kwamba sifahamiani nao?Sina cha kukusaidia mkuu, ni vile tu comment yako ilinifurahisha sana.


Jude Okoye ni kaka yao na sio "anko".Peter alioa mwanamke ambaye familia haimtaki. Na kibaya zaidi Paul kwa kushirikiana na anko wao Jude baada ya kifo za mama yao wakawa wanashirikiana kutaka kumcontrol Peter.
Inatamkwa Peter & Paul Okoye. Ni wazi Peter ndiye Kulwa.Nafikiri Paulo ndio kulwa
Akina dito huwa Ni wakorofi sana