tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
Naomba maelezo yenu wanasheria....kama wenza wa ndoa ya kikristo wametengana rasmi na kugawana mali zilizopo wakati huo lakini baadae (wakati wowote post separation) mmoja wao (mume au mke) akiwa single vile vile akachuma mali kwa kipato chake je mwenza wake anaweza kudai mgawo? au atakuwa na haki yoyote juu ya hiyo mali mpya mbele ya safari?