Nini haki ya mwenza kwa mali baada ya separation?

tanga kwetu

JF-Expert Member
May 12, 2010
2,193
1,434
Naomba maelezo yenu wanasheria....kama wenza wa ndoa ya kikristo wametengana rasmi na kugawana mali zilizopo wakati huo lakini baadae (wakati wowote post separation) mmoja wao (mume au mke) akiwa single vile vile akachuma mali kwa kipato chake je mwenza wake anaweza kudai mgawo? au atakuwa na haki yoyote juu ya hiyo mali mpya mbele ya safari?
 
angalizo kwanza: official separation, unamaanisha divorce ama kutengana? manake ni vitu viwili tofauti hivi
 
replying to King'asti....kwa vile taraka imekuwa na burden of prove, familia zote mbili na wanandoa wameridhia kutengana kwa muda usio rasmi lakini in real sence wametalakiana maana nasikia separation isyo na suruhu kwa zaidi ya miaka 3 ni talaka. nafikiri nimekujibu....
 
replying to King'asti....kwa vile taraka imekuwa na burden of prove, familia zote mbili na wanandoa wameridhia kutengana kwa muda usio rasmi lakini in real sence wametalakiana maana nasikia separation isyo na suruhu kwa zaidi ya miaka 3 ni talaka. nafikiri nimekujibu....

Kama hawajapeana talaka rasmi wambie wakimbie haraka mahakamani ili ndoa yao ivunjwe kisheria na kila mtu atambae na chake...Vinginevyo watakuwa wamekalia kuti kavu kwani kisheria wataendelea kuwa wanandoa!
 
separation imefanyika at family level yaani familia za pande zote mbili zimeridhia kila mtu achukue chake na ndivyo ilivyokuwa kwa sasa kila mtu anaishi kivyake. Evidences at family level ilitosheleza kuachanisha ndoa lakini mahakamani ikawa ngumu. Yaani hawa watu kwa sasa wameshetengana sasa jamaa anauliza akichuma mali kwa sasa,nke atadau?
 
unajua ndoa za kidini huwa zivunjwi lakini mimi nashauri wote wawe waungwana kama walishaachana kila mmoja achukue vector maana nje ya hapo wanaweza hata kuuuana kwa sababu zisizo na maana kila mtu aridhike na chake wataishi kwa amani labda kama wanataka kurudiana inawezeka. nje ya hapo kwa jinsi walivyoachana ingekuwa ni ndoa ya kimila ilikuwa sawa
 
separation imefanyika at family level yaani familia za pande zote mbili zimeridhia kila mtu achukue chake na ndivyo ilivyokuwa kwa sasa kila mtu anaishi kivyake. Evidences at family level ilitosheleza kuachanisha ndoa lakini mahakamani ikawa ngumu. Yaani hawa watu kwa sasa wameshetengana sasa jamaa anauliza akichuma mali kwa sasa,nke atadau?
<br /> <br / kuna maandishi yyt walioandikishana kuwa wametengana na kugawana mali?
 
it is in pipeline,Angel!! so unashauri separation hiyo ifanyike kwa maandishi na kila mmoja aandike anachukua nini?
 
Hata kama hawajaenda mahakamani, nivizuri wakifanya hiyo separation kwa maandishi tena yaandaliwe kitaalam na mwanasheria. Then ikipita miaka miwili hajaweza kurudiana yoyote kati yao anawea kwenda mahakamani ili kuomba Talaka hoping that upande wa pili hautakuwa na pingamizi wataisaidia mahakama kwani itachukua tu yale makubaliano yao.

Angalizo hakuna mgawanyo wa mali during separation hata iwe judicial. mgawanyo wa mali unafanyika pale tu talaka inapotolewa. wanachoweza kuweka kwa maandishi ni arrangement ya jinsi ya kuishi hasa uangalizi wa watoto na hizo mali naman ya kutumia pamoja. Again there is no extrajudicial divorce, talaka lazima itolewe na mahakama walengwa wanachoweza kufanya ni makubaliano juu ya mgawanyo wa mali na uangalizi wa watoto basi.
 
Back
Top Bottom