Last KING Ontuzu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 587
- 783
Wengi wenu nadhani mshawahi kukutana na pingamizi za ndugu na wazazi linapokuja suala la kuolewa au kuoa mtu fulani ambaye ni mtu wa jamii tofauti na yako namaanisha kabila tofauti.
Mambo haya yapo tangu enzi za mababu zetu ukiangalia ndani ya biblia utakutana na habari za akina Samsoni alipotaka kumuoa Delila mwanamke wa kabila tofauti na lake.
Japo kwa miaka ya hivi karibuni jambo hilo linaonekana kupitwa wakati.
Suala la kujiuliza je kitu gani hasa ambacho wazee wetu walitaka tukipate kwa kuoa wanawake wa kabila moja ?
Na je kipi cha kupoteza unapoamua kuoa jamii tofauti na yako?
Maoni yenu wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo haya yapo tangu enzi za mababu zetu ukiangalia ndani ya biblia utakutana na habari za akina Samsoni alipotaka kumuoa Delila mwanamke wa kabila tofauti na lake.
Japo kwa miaka ya hivi karibuni jambo hilo linaonekana kupitwa wakati.
Suala la kujiuliza je kitu gani hasa ambacho wazee wetu walitaka tukipate kwa kuoa wanawake wa kabila moja ?
Na je kipi cha kupoteza unapoamua kuoa jamii tofauti na yako?
Maoni yenu wadau
Sent using Jamii Forums mobile app