Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,774
- 24,209
Kwa jamii zetu za kitanzania ni suala la kawaida Kwa wazazi wetu kukushauri masuala ya future especially ndoa. Kwa kukuambia makabila ya kuoa/ kuolewa nayo ...ukiachana na wale wa kishua ambao huambiwa waolewe na watoto wa matajiri wenzao
Kwetu sisi tuliambiwa hatutakiwi kuoa jamii za kaskazini especially wachaga Kwasababu Fulani Fulani kuwa ulipata Mali basi ndo ticket Yako ya kwenda ahera madukani
But ukweli ni kuwa broo alioa mchaga wanapesa na bado huyu mke wake anakubalika sana huku ukweni Kwa sababu ya kindness kubwa alionayo?
NB: zakuambiwa changanya na zako
Je, ni kabila gani uliambiwa usioe/ usiolewe nalo na kwanini?
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwetu sisi tuliambiwa hatutakiwi kuoa jamii za kaskazini especially wachaga Kwasababu Fulani Fulani kuwa ulipata Mali basi ndo ticket Yako ya kwenda ahera madukani
But ukweli ni kuwa broo alioa mchaga wanapesa na bado huyu mke wake anakubalika sana huku ukweni Kwa sababu ya kindness kubwa alionayo?
NB: zakuambiwa changanya na zako
Je, ni kabila gani uliambiwa usioe/ usiolewe nalo na kwanini?
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app