Kama ni mamen waolewe tu hakuna namna
Nimekuwa naona baadhi ya vijana siku za hivi karibuni wanaongezeka Sana kuikashifu nchi yao ya Tanzania kwenye mitandao ya kijamii.
Unafikiri nini dawa ya vijana Kama Hawa?
Dawa yao Wewe wasemee tu kwa SSIT ( Oysterbay ) au FDPT ( Upanga ) watamalizana nao mara moja.
Dawa ni kuendesha nchi kwa kuheshimu haki za binadamu, utawala wa sheria na kuacha kuonea wapinzani.Nimekuwa naona baadhi ya vijana siku za hivi karibuni wanaongezeka Sana kuikashifu nchi yao ya Tanzania kwenye mitandao ya kijamii.
Unafikiri nini dawa ya vijana Kama Hawa?
We jamaa na wewe ni KIHIYO?Kwani kukashifu nchi kunasababishwa na nini?Si ni kashafa?Dawa ya mtu anayesababisha watanzani wakshifu Nchi ndo inabidi itafutwe.Nimekuwa naona baadhi ya vijana siku za hivi karibuni wanaongezeka Sana kuikashifu nchi yao ya Tanzania kwenye mitandao ya kijamii.
Unafikiri nini dawa ya vijana Kama Hawa?
Yeah......! Short n' clear "Swali la msingi lingekuwa kwanini serikali inakashfiwa?
Mpatie Elimu bora na Si bora Elimu...na uhakika mabadiliko utayaona.....Nimekuwa naona baadhi ya vijana siku za hivi karibuni wanaongezeka Sana kuikashifu nchi yao ya Tanzania kwenye mitandao ya kijamii.
Unafikiri nini dawa ya vijana Kama Hawa?