Nini dawa ya mtanzania anayeikashifu nchi yake?

Nini dawa ya mtanzania anayeikashifu nchi yake?

Nimekuwa naona baadhi ya vijana siku za hivi karibuni wanaongezeka Sana kuikashifu nchi yao ya Tanzania kwenye mitandao ya kijamii.

Unafikiri nini dawa ya vijana Kama Hawa?

It better ukastate clear ili vijana wakuelewe. Kuwa wanakashifu serikali ama nchi?
 
Tuanzie hapa kwanza kwani kukashifu ni ugonjwa.? Na kama wanakashifu kwa ajili ya kukosoa utendaji mbovu nani wa kupewa dawa.?
siyo ugonjwa bali kwangu naona ni usaliti
 
We jamaa na wewe ni KIHIYO?Kwani kukashifu nchi kunasababishwa na nini?Si ni kashafa?Dawa ya mtu anayesababisha watanzani wakshifu Nchi ndo inabidi itafutwe.
nani huyo?
 
Anzia hapa kwanza.

" NCHI NI NINI?"

Nimekuwa naona baadhi ya vijana siku za hivi karibuni wanaongezeka Sana kuikashifu nchi yao ya Tanzania kwenye mitandao ya kijamii.

Unafikiri nini dawa ya vijana Kama Hawa?
 
Acha ujinga, humu tunahitaji watu wenye akili.Lete mifano hapa ya huyo anayeikashifu nchi, jifunze kutofautisha kati ya kukosoa na kukashifu afu ukielewa ujifunze tena tofauti kati ya nchi na serikali, ukihitimu hiyo kozi uje ufute uzi wako hauna mashiko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuwa naona baadhi ya vijana siku za hivi karibuni wanaongezeka Sana kuikashifu nchi yao ya Tanzania kwenye mitandao ya kijamii.

Unafikiri nini dawa ya vijana Kama Hawa?

Tatizo hilo halipo kwa vijana tu hata baadhi ya wazee wanahusika.
Haya tunayoyaona/ kusikia hivi sasa ni matokeo ya serikali kuzembea kwenye kutoa kinga. Bila kulielewa na kulikubali hili tutahangaika sana kupata dawa ya tiba bila mafanikio.
 
Nimekuwa naona baadhi ya vijana siku za hivi karibuni wanaongezeka Sana kuikashifu nchi yao ya Tanzania kwenye mitandao ya kijamii.

Unafikiri nini dawa ya vijana Kama Hawa?

Nafikiri unahitaji matibabu ya akili. Afya yako ya akili ina mushkeli.
 
dawa ni demokrasia ya kweli na uzalendo uliotukuka kwa nchi yetu, nothing more
 
Acha ujinga, humu tunahitaji watu wenye akili.Lete mifano hapa ya huyo anayeikashifu nchi, jifunze kutofautisha kati ya kukosoa na kukashifu afu ukielewa ujifunze tena tofauti kati ya nchi na serikali, ukihitimu hiyo kozi uje ufute uzi wako hauna mashiko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lissu anaikashifu nchi akiwa nje ya nje hilo liko wazi wala halihitaji mjadala.
 
Vipi kuhusu yule anayeharibu nchi kwa kigezo cha kuinyoosha?
 
Back
Top Bottom