Nini dawa ya mtanzania anayeikashifu nchi yake?

Nini dawa ya mtanzania anayeikashifu nchi yake?

Nimekuwa naona baadhi ya vijana siku za hivi karibuni wanaongezeka Sana kuikashifu nchi yao ya Tanzania kwenye mitandao ya kijamii.

Unafikiri nini dawa ya vijana Kama Hawa?
1.elimu
2.elimu
3.elimu
Elimu ya kujenga ufahamu bora wa kupambanua mambo.na kujenga uzalendo imara sana.ili nchi ipate , viongozi , watendaji na wananchi bora wa kuijenga na kuilinda nchi yao.
 
Nimekuwa naona baadhi ya vijana siku za hivi karibuni wanaongezeka Sana kuikashifu nchi yao ya Tanzania kwenye mitandao ya kijamii.

Unafikiri nini dawa ya vijana Kama Hawa?
Hawana tofauti na wale watafute kiki wa Bongo movie,huoni kaka yao risasi 16 anazurura huko Ulaya akimtukana mama yake(Tanzania nchi yake) na kutaka nchi inyimwe misaada halafu hapohapo analilia mshahara na posho kusimamishwa,utalipwaje wakati ndio kinara wa kutaka tukuso misaaada kwa uroho wako binafsi.
 
Hawana tofauti na wale watafute kiki wa Bongo movie,huoni kaka yao risasi 16 anazurura huko Ulaya akimtukana mama yake(Tanzania nchi yake) na kutaka nchi inyimwe misaada halafu hapohapo analilia mshahara na posho kusimamishwa,utalipwaje wakati ndio kinara wa kutaka tukuso misaaada kwa uroho wako binafsi.
Duuh! kwani jamaa shida yake ni serikali au nchi?Naona kama kuna shida ya uelewaji wa mada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawana tofauti na wale watafute kiki wa Bongo movie,huoni kaka yao risasi 16 anazurura huko Ulaya akimtukana mama yake(Tanzania nchi yake) na kutaka nchi inyimwe misaada halafu hapohapo analilia mshahara na posho kusimamishwa,utalipwaje wakati ndio kinara wa kutaka tukuso misaaada kwa uroho wako binafsi.
Happy ni shida Sana.TL
 
Back
Top Bottom