BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,331
Mipaka ya wizi wa kura kudharau katiba, mahakama na sheria za nchi, kusema uongo na kuchota trillions kiholela.
demokrasia ina mipaka yake
demokrasia ina mipaka yake
Dawa yake ni nyinyi kuacha vitendo vya ajabu dhidi ya nchi hiiNimekuwa naona baadhi ya vijana siku za hivi karibuni wanaongezeka Sana kuikashifu nchi yao ya Tanzania kwenye mitandao ya kijamii.
Unafikiri nini dawa ya vijana Kama Hawa?
Nimekuwa naona baadhi ya vijana siku za hivi karibuni wanaongezeka Sana kuikashifu nchi yao ya Tanzania kwenye mitandao ya kijamii.
Unafikiri nini dawa ya vijana Kama Hawa?
Dawa yao ndogo sanaNimekuwa naona baadhi ya vijana siku za hivi karibuni wanaongezeka Sana kuikashifu nchi yao ya Tanzania kwenye mitandao ya kijamii.
Unafikiri nini dawa ya vijana Kama Hawa?
Natafuta kitufe cha likes 10 sikioni!!Dawa yao Wewe wasemee tu kwa SSIT ( Oysterbay ) au FDPT ( Upanga ) watamalizana nao mara moja.
Usiwe subjective but objectivesiyo ugonjwa bali kwangu naona ni usaliti
ni waz haujui tofaut Kat ya nchi na serikaliLissu anaikashifu nchi akiwa nje ya nje hilo liko wazi wala halihitaji mjadala.
Mipaka ya demokrasia huwekwa na wananchi wenyewe, siyo viongozi wengine tena walioshinda kimagumashi kutuonyesha mipaka ya demokrasia.demokrasia ina mipaka yake
Ni ugonjwa mpya umeingia Tanzania,unaitwa Deko.Nimekuwa naona baadhi ya vijana siku za hivi karibuni wanaongezeka Sana kuikashifu nchi yao ya Tanzania kwenye mitandao ya kijamii.
Unafikiri nini dawa ya vijana Kama Hawa?
Kwani dozi kama ile ya kina Saanane na Azory haitoshi???Nimekuwa naona baadhi ya vijana siku za hivi karibuni wanaongezeka Sana kuikashifu nchi yao ya Tanzania kwenye mitandao ya kijamii.
Unafikiri nini dawa ya vijana Kama Hawa?
Kusema kweli vijana wengi hawampendi Magufuli na viongozi wa CCM hata hasira zao ambazo ww unasema ni matusi wanazielekeza kwa hivyo vitu viwili. Vumilia tu hivyo viwili visipokuwepo hutasikia wakitoa lugha za kuudhiNimekuwa naona baadhi ya vijana siku za hivi karibuni wanaongezeka Sana kuikashifu nchi yao ya Tanzania kwenye mitandao ya kijamii.
Unafikiri nini dawa ya vijana Kama Hawa?
Nimekuwa naona baadhi ya vijana siku za hivi karibuni wanaongezeka Sana kuikashifu nchi yao ya Tanzania kwenye mitandao ya kijamii.
Unafikiri nini dawa ya vijana Kama Hawa?
Toa maoni yako hakuna shida lakini usitukane waka kutoa maneno ya kashfa kwa mamlaka...hilo hatukubali hata kidogo na utashughulikiwa tu hakuna namna nyingine.Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 katika Ibara ya 18 Ibara ndogo ya kwanza imetoa haki ya kila raia kuwa na uhuru wa kutoa maoni kwa maana ya kujieleza na kutoa nje mawazo kuhusu masuala mbalimbali na pia kupokea na kuto taarifa kutoka katika chombo chochote. Nanukuu:
"Bila ya kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko huru
kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta,
kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo
chochote bila ya kujali mipaka ya nchi, na pia ana uhuru wa
mawasiliano yake kutoingiliwa kati."
Nimekuwa naona baadhi ya vijana siku za hivi karibuni wanaongezeka Sana kuikashifu nchi yao ya Tanzania kwenye mitandao ya kijamii.
Unafikiri nini dawa ya vijana Kama Hawa?
Mimi niko katika katiba.Huko kwa kuwashughulikia na kuwatesa wapinzani siko mimi.Nyie endeleeni tu.Toa maoni yako hakuna shida lakini usitukane waka kutoa maneno ya kashfa kwa mamlaka...hilo hatukubali hata kidogo na utashughulikiwa tu hakuna namna nyingine.
Mkuu,with all due respect, katika hizi siku mbili tatu haupo katika hali nzuri kimawazo.Una mtanziko mkubwa sana.Unatatarika.Utetezi wako wa siku nyingi kwa "al-watan Jiwe" una backfire!Looh!That's bad!una comment kibweka na wewe haya pole sana...
Toa maoni yako hakuna shida lakini usitukane waka kutoa maneno ya kashfa kwa mamlaka...hilo hatukubali hata kidogo na utashughulikiwa tu hakuna namna nyingine.