Kweli inategemea na sehemu unayoishi,kila mtu aishi sehemu ya hadhi yake,mimi sehemu niliyohamia baada ya kuolewa ni balaa,
mtaa umefurika Watu asubuhi nikitoka kwenda job wamekaa vibarazani nikirudi namekaa na kanga vifuani,
Sasa nikienda kukaa nao tutaongea nini?we don't have common language,zaidi ya salamu Sina la kuwaambia,nawaza Sijui watakuwa wananiona JIRANI MKOROFI,Nataka nihame,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.