Sasa unaweza ukawa huna VIWALO vya kumzidia ubishoo!
Neylu
Ha! ha! ha! .... umenikumbusha kitu hapa
Kuna polisi walimkamata mhalifu ... polisi akajigamba akamwambia jamaa "Si unajifanya f.ala sio! ... sasa mimi ni f.ala zaidi yako"
N.B:
MODS Neno f.ala sio tusi ... hata kwenye kamusi ya TUKI lipo
f.ala nm [a-/wa-] (si rasmi) imbecile, unwise, unreasoning, witless,
Hahahaaa.... Yaani kweli BAN ni noooma..! Ndugu ulivyojiwahisha haraka haraka ili usilambwe BAN!!! Mie hooooiii..!!
Unaogopa ban balaa. Sasa kama neno la kawaida si ungeandika "****" badala ya kuweka vidoti!
BTW nimecheka
:bange:[FONT=comic sans
ms]Umepakana na jirani ambaye kwa macho tu
anaonekana ni mwenye majvuno na visenti vyake uchwara....mnaishi
uswahilini...... hafungui kioo cha gari yake tinted akirudi.... akitoka
yale yale, watoto wake amewakataza kusalimia watu na hata
kucheza na watoto wenzake... ni jirani asiyependa mawasiliano ya aina
yoyote........ nini dawa yake[/FONT]:israel:
:bange:Umepakana na jirani ambaye kwa macho tu anaonekana ni mwenye majvuno na visenti vyake uchwara....mnaishi uswahilini...... hafungui kioo cha gari yake tinted akirudi.... akitoka yale yale, watoto wake amewakataza kusalimia watu na hata kucheza na watoto wenzake... ni jirani asiyependa mawasiliano ya aina yoyote........ nini dawa yake:israel:
Kwani kila jirani lazima kujichanganya naye...mtakuja kuzoea majambazi na wachuna ngozi kisa umbea wa kutaka kumjua jirani...
Sasa unaweza ukawa huna VIWALO vya kumzidia ubishoo!
Neylu
Ha! ha! ha! .... umenikumbusha kitu hapa
Kuna polisi walimkamata mhalifu ... polisi akajigamba akamwambia jamaa "Si unajifanya f.ala sio! ... sasa mimi ni f.ala zaidi yako"
N.B:
MODS Neno f.ala sio tusi ... hata kwenye kamusi ya TUKI lipo
f.ala nm [a-/wa-] (si rasmi) imbecile, unwise, unreasoning, witless,
:bange:Umepakana na jirani ambaye kwa macho tu anaonekana ni mwenye majvuno na visenti vyake uchwara....mnaishi uswahilini...... hafungui kioo cha gari yake tinted akirudi.... akitoka yale yale, watoto wake amewakataza kusalimia watu na hata kucheza na watoto wenzake... ni jirani asiyependa mawasiliano ya aina yoyote........ nini dawa yake:israel: