Hapo sasa sioni ukorofi wake nini, unataka akuchekee uanzishe uhusiano wa kumkopa??
1.kwa macho tu anaonekana ni mwenye majvuno, 2.visenti vyake uchwara, 3.hafungui kioo cha gari yake tinted, 3.watoto wake amewakataza kusalimia watu na hata kucheza na watoto wenzake, 4.ni jirani asiyependa mawasiliano ya aina yoyote
Sasa unaweza ukawa huna VIWALO vya kumzidia ubishoo!Dawa ya bishoo ni kuwa bishoo zaidi yake..!!
:bange:Umepakana na jirani ambaye kwa macho tu anaonekana ni mwenye majvuno na visenti vyake uchwara....mnaishi uswahilini...... hafungui kioo cha gari yake tinted akirudi.... akitoka yale yale, watoto wake amewakataza kusalimia watu na hata kucheza na watoto wenzake... ni jirani asiyependa mawasiliano ya aina yoyote........ nini dawa yake:israel:
:bange:Umepakana na jirani ambaye kwa macho tu anaonekana ni mwenye majvuno na visenti vyake uchwara....mnaishi uswahilini...... hafungui kioo cha gari yake tinted akirudi.... akitoka yale yale, watoto wake amewakataza kusalimia watu na hata kucheza na watoto wenzake... ni jirani asiyependa mawasiliano ya aina yoyote........ nini dawa yake:israel:
Sasa unaweza ukawa huna VIWALO vya kumzidia ubishoo!
Neylu
Ha! ha! ha! .... umenikumbusha kitu hapa
Kuna polisi walimkamata mhalifu ... polisi akajigamba akamwambia jamaa "Si unajifanya f.ala sio! ... sasa mimi ni f.ala zaidi yako"
N.B:
MODS Neno f.ala sio tusi ... hata kwenye kamusi ya TUKI lipo
f.ala nm [a-/wa-] (si rasmi) imbecile, unwise, unreasoning, witless,