:bange:Umepakana na jirani ambaye kwa macho tu anaonekana ni mwenye majvuno na visenti vyake uchwara....mnaishi uswahilini...... hafungui kioo cha gari yake tinted akirudi.... akitoka yale yale, watoto wake amewakataza kusalimia watu na hata kucheza na watoto wenzake... ni jirani asiyependa mawasiliano ya aina yoyote........ nini dawa yake:israel: