Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
"Mikingamo... Sasa vita vimetangazwa jama, wananchi wote tuwe imara, vijijini na mijini tusisite kuwafichua wahujumu na walanguzi"
Nini kulikuwa chimbuko la kuanzishwa kwa vita dhidi ya wahujumu uchumi, walanguzi na wafanya magendo?
Sheria ya Uhujumu Taifa ya mwaka 1984 bado iko hai, kwa nini haitumiki?
Nini kilisababisha kukawa na mshike mshike wa watu waliohodhi mali, kuwa na fedha za kigeni au bidhaa za kigeni? Je kulikuwa na uhujumu wa kiasi gani, Ulanguzi na Magendo ya kiasi gani?
Faida na hasara za soesi zima zilikuwa ni nini?
Nini kulikuwa chimbuko la kuanzishwa kwa vita dhidi ya wahujumu uchumi, walanguzi na wafanya magendo?
Sheria ya Uhujumu Taifa ya mwaka 1984 bado iko hai, kwa nini haitumiki?
Nini kilisababisha kukawa na mshike mshike wa watu waliohodhi mali, kuwa na fedha za kigeni au bidhaa za kigeni? Je kulikuwa na uhujumu wa kiasi gani, Ulanguzi na Magendo ya kiasi gani?
Faida na hasara za soesi zima zilikuwa ni nini?