Zakumi,
..MKANDARA alikuwa MLANGUZI ndiyo maana hatuelewani. tena ame-confess kwamba hakuwahi kupanga mawe kwa ajili ya foleni. inawezekana hata habari ya maduka ya kaya ni ya kusimuliwa Jamii Forums.
Mkandara,
..wa-Tanzania walikuwa wanavusha magendo ya mafuta ya kupikia na sabuni[rexona,life bouy] toka Kenya. sasa uliwahi kusikia Nairobi kuna Wakenya wamepanga foleni ya mafuta ya kupikia, au sabuni ya kuogea?
Kichuguu,
..damn!! umenikumbusha vitambaa vya crimpline. yaani sina mbavu hapa.
..lakini pia lazima tukubali kwamba kulikuwa na uendeshaji mbaya wa viwanda na mashirika yetu. kuna kampuni kama TBL na UFI hazikutakiwa ziwe na matatizo hata kidogo.
..MKANDARA alikuwa MLANGUZI ndiyo maana hatuelewani. tena ame-confess kwamba hakuwahi kupanga mawe kwa ajili ya foleni. inawezekana hata habari ya maduka ya kaya ni ya kusimuliwa Jamii Forums.
Mkandara,
..wa-Tanzania walikuwa wanavusha magendo ya mafuta ya kupikia na sabuni[rexona,life bouy] toka Kenya. sasa uliwahi kusikia Nairobi kuna Wakenya wamepanga foleni ya mafuta ya kupikia, au sabuni ya kuogea?
Kichuguu,
..damn!! umenikumbusha vitambaa vya crimpline. yaani sina mbavu hapa.
..lakini pia lazima tukubali kwamba kulikuwa na uendeshaji mbaya wa viwanda na mashirika yetu. kuna kampuni kama TBL na UFI hazikutakiwa ziwe na matatizo hata kidogo.