Mayala B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 1,450
- 3,379
Je ni kwanini kwa sasa marekani anaonekana kupoteza ushawishi
Yaan kawa kama mbwa anayebekwa bweka tu lakin hana meno
Je au ndo kwamba hakuna marefu yasiyo na mwisho
Je utawala wa dunia wa America ndo umefika kikomo? Au anavuta mda aje alipue watu
Kwanini saiv anachezewa sana why
Yaan kawa kama mbwa anayebekwa bweka tu lakin hana meno
Je au ndo kwamba hakuna marefu yasiyo na mwisho
Je utawala wa dunia wa America ndo umefika kikomo? Au anavuta mda aje alipue watu
Kwanini saiv anachezewa sana why