housegirl
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 3,125
- 2,194
😀 msaada wa watu wa marekani.Haha eti akirudi mpe shamra shamra. Usipojali tabia zake za ajabu ndo unaitwa mke mwema eti, umekomaa kwa ndoa. Me vitoto vyangu vya kiume ntavifundisha mapema, kikikosea tu nakiambia "wewe ndoa itakushinda, wanawake watakukimbia teh", maybe na wenyewe wataona umuhimu wa kutunza ndoa zao tangu wakiwa watoto.
Mtu unakaa nyumbani umejituliza, mtu anakuja kukuletea magonjwa yake na mibalaa yake huko nje bure bure kama msaada wa watu wa Marekani khaa. Afu mtu akisema ameshindwa ndoa anaonekana hafai kwa jamii. No wonder hata thamani ya ndoa imeshuka
yani wanatutayarisha kisaikolojia kabisa kudeal na dhambi zao za makusudi. kaachika. ndoa imemshinda. we ndo make mwema.
mie nashukuru nimelea magentlemen ya ukweli lakini ndo hivyo you'll have to split the bill .
kwa kweli sikumbuki kabisa majina ya wadogo wangu manake nilikuwa nawaita mizigo tu. wee mzigo njoo utoe socks zako hapa. hapo mama katoka kuniambia mie ndo nitoe kisa wanaume hawatoagi socks sebuleni. yani kwenye DNA yao kuna sehemu inasema kabisa USITOE SOCKS.
unless men learn to take their families seriously and stop entertaining their lusts, tunakoelekea kubayaa... hakuna wa kudeal na mateso ya hivi siku hizi kabaki Heaven Sent peke yake mumuwahiii