lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,111
- Thread starter
- #41
lol pole lara 1 kwa yaliyokusibu, sasa mbona hutupi feedback bado maza yuko na simu yako? na ishu imeishaje? makubwa haya. Pole kwa bro na wifi yako pia ila kwanini bro wako hamuambii matatizo yake bi mkubwa? na anakuamini sana wewe ilhali hauko kwenye ndoa?
Maza yupo tu! Katoka kuchoma insulin kutuliza shuga, maana ilishuka ! We acha saivi ametulia ndo anaona uzito wa tatizo ulivomkubwa! Ukizingatia Maza anachowaza yeye ni mzee wa kanisa, sasa sura yake ataiweka wapi! N a inamuuma sana kuwa mwanae ni mume mwema kwanini yamkute haya mabalaaa! Ndoa ina 1 yr watu hata michango yao hawajaisahau! Na vyovyote itakavoisha lazima idhalilishe familia sana. Kuhusu kushauri kule kanishukuru manake angeenda mwenyewe kupata taarifa angeweza either afe kwa presha au angekuwa lupango kwa mudder case. Hapo ameshatoa angalizo hataki kusikia mtu akitaja jina la wifi!