Aliyekamatwa na Ng'ombe ndiye mwizi wa Konyagi ...Hic!
Karibu braza MakonyagiHaya wale walevi wenzangu, na wasio walevi wa kilaji (najua ulevi wao upo wapi). Mie ndo nimeingia nikiwa chicha haswa. nayumba nashangaa nyumba haina kaunta hii.
Weita pls lete moja bariiiidi.
ops hodi humu
Uzi wa 2009 huu.Karibu braza Makonyagi
Last seen n 2010, inaweza kuwa jamaa ameshatutoka kwa kunywa konyagiHaya wale walevi wenzangu, na wasio walevi wa kilaji (najua ulevi wao upo wapi). Mie ndo nimeingia nikiwa chicha haswa. nayumba nashangaa nyumba haina kaunta hii.
Weita pls lete moja bariiiidi.
ops hodi humu
Kitambo sana..Haya wale walevi wenzangu, na wasio walevi wa kilaji (najua ulevi wao upo wapi). Mie ndo nimeingia nikiwa chicha haswa. nayumba nashangaa nyumba haina kaunta hii.
Weita pls lete moja bariiiidi.
ops hodi humu
Hahaha dogo mkaldayo mcheki adriz akila kiapo cha utii kwa Kipenzi chetu cha dhati mwamba mkombozi wa waislamu Imam Hussain ibn Ali AS.Hizu kitu siku hizi zimekuwa feki nyingi. Zinamaliza watu. Huyu jamaa alie post nia Maghayo a.k.a Busu la Kenge kabla hajaenda Copenhagen View attachment 3434910
Hahaha dogo mkaldayo mcheki adriz akila kiapo cha utii kwa Kipenzi chetu cha dhati mwamba mkombozi wa waislamu Imam Hussain ibn Ali AS.
View: https://vm.tiktok.com/ZNd9WjUxW/
Intelligent businessman Monetary doctor Vishu Mtata Al-mukheef Wakilli Jagina Kikwajuni One Covax Nyamwi255
Kawatoka au kabadili I'd 😆😆😆😆😆Last seen n 2010, inaweza kuwa jamaa ameshatutoka kwa kunywa konyagi
Ah huyu tuweke kashadediKawatoka au kabadili I'd 😆😆😆😆😆
2009 si juzi tu bwasheeAh huyu tuweke kashadedi
Ah Ww, 2009 nilikuwa shule ya msingi sasa hv nafanya kazi ya ujobless2009 si juzi tu bwashee
Kumbe wewe chali wa juzi 😅Ah Ww, 2009 nilikuwa shule ya msingi sasa hv nafanya kazi ya ujobless
Ushaanza kujikosha 😂Kumbe wewe chali wa juzi 😅