Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,136
- 4,298
MACHINGA ni msemo wa kiswahili unaowakilisha wafanya biashara wadogo wadogo ambao hufanya biashara kwa kuweka bidhaa zao kandokando ya barabara au hata sokoni.
neno MACHINGA limechukuliwa kutoka katika kabila la wamachinga ambao asili yao ni Mtwara katika wilaya ya Kilwa na Lindi.
wamachinga wao ndo watu wa mwanzo kuanza kupanga bidhaa zao barabarani na kutokana na jina la kabila lao,taratibu wafanya biashara hao waliitwa jina la WAMACHINGA.
neno MACHINGA limechukuliwa kutoka katika kabila la wamachinga ambao asili yao ni Mtwara katika wilaya ya Kilwa na Lindi.
wamachinga wao ndo watu wa mwanzo kuanza kupanga bidhaa zao barabarani na kutokana na jina la kabila lao,taratibu wafanya biashara hao waliitwa jina la WAMACHINGA.