Machinga Mwanza warudi kwa kasi barabarani

Torra Siabba

Senior Member
Jul 24, 2016
105
102
Wakati serikali mkoani Mwanza ikiwa imetenga maeneo maalumu kwaajili ya Wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama Machinga kufanya biashara zao, wafanya biashara hao wameanza kurudi kufanya biashara kandokando ya barabara jambo ambalo lilipigwa marufuku na Serikali.

Jana nilifanya ziara maalumu jijini Mwanza ambapo nilizunguka mitaa ya Nyerere Road, Rumumba, Pamba road, Rufiji, Dampo na kukuta machinga kibao wakiwa wamepanga biashara zao kandokando ya barabara jambo ambalo limekuwa likikatazwa na serikali bila ya mafanikio kwakua Machinga wamekuwa hawataki kwenda kwenye maeneo maalumu yaliyopangwa kwaajili yao.

Baadae nilipata nafasi ya kwenda kwenye soko la Mchafu kuoga lililipo Igogo, Nyamagana jijini Mwanza na kukuta idadi ndogo ya wafanya biashara pamoja na lile la Kiloleni.

Mkoa wa Mwanza umekuwa miongoni mwa mikoa korofi kwa machinga kutokuwa wasikivu licha ya serikali kuwapangia maeneo ya kufanya biashara zao lakini wao kuamua kufanya biashara barabarani.

IMG-20230803-WA0000.jpg
IMG-20230803-WA0020.jpg
IMG-20230803-WA0023.jpg
IMG-20230803-WA0029.jpg


Pia Soma Machinga wachachamaa Mwanza hali ni tete wanarusha mawe kwenye maduka
 
Wakati serikali mkoani Mwanza ikiwa imetenga maeneo maalumu kwaajili ya Wafanya biashara wadogo wadogo maarufu kama Machinga kufanya biashara zao, wafanya biashara hao wameanza kurudi kufanya biashara kandokando ya barabara jambo ambalo lilipigwa marufuku na Serikali.

Jana nilifanya ziara maalumu jijini Mwanza ambapo nilizunguka mitaa ya Nyerere Road, Rumumba, Pamba road, Rufiji, Dampo na kukuta machinga kibao wakiwa wamepanga biashara zao kandokando ya barabara jambo ambalo limekuwa likikatazwa na serikali bila ya mafanikio kwakua Machinga wamekuwa hawataki kwenda kwenye maeneo maalumu yaliyopangwa kwaajili yao.

Baadae nilipata nafasi ya kwenda kwenye soko la Mchafu kuoga lililipo Igogo ,Nyamagana jijini Mwanza na kukuta idadi ndogo ya wafanya biashara pamoja na lile la Kiloleni.

Mkoa wa Mwanza umekuwa miongoni mwa mikoa korofi kwa machinga kutokuwa wasikivu licha ya serikali kuwapangia maeneo ya kufanya biashara zao lakini wao kuamua kufanya biashara barabarani.
Hawawezi wagusa kwasababu kuna ishu ya dipii wedi na wao wanasomba watu kwenye mikutano
 
KWAHERI Mwalimu Nyerere...

Uliacha vijana WA HOVYO kwenye hili Taifa...

Mafisadi.
WAPUMBAVU.
WAJINGA.
Wahujumu uchumi nk

Ile dira yako ya uongozi Bora ILIKUFA.
TAIFA Lina Bora VIONGOZI.
 
Wakati serikali mkoani Mwanza ikiwa imetenga maeneo maalumu kwaajili ya Wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama Machinga kufanya biashara zao, wafanya biashara hao wameanza kurudi kufanya biashara kandokando ya barabara jambo ambalo lilipigwa marufuku na Serikali.

Jana nilifanya ziara maalumu jijini Mwanza ambapo nilizunguka mitaa ya Nyerere Road, Rumumba, Pamba road, Rufiji, Dampo na kukuta machinga kibao wakiwa wamepanga biashara zao kandokando ya barabara jambo ambalo limekuwa likikatazwa na serikali bila ya mafanikio kwakua Machinga wamekuwa hawataki kwenda kwenye maeneo maalumu yaliyopangwa kwaajili yao.

Baadae nilipata nafasi ya kwenda kwenye soko la Mchafu kuoga lililipo Igogo, Nyamagana jijini Mwanza na kukuta idadi ndogo ya wafanya biashara pamoja na lile la Kiloleni.

Mkoa wa Mwanza umekuwa miongoni mwa mikoa korofi kwa machinga kutokuwa wasikivu licha ya serikali kuwapangia maeneo ya kufanya biashara zao lakini wao kuamua kufanya biashara barabarani.

View attachment 2706991View attachment 2706992View attachment 2706993View attachment 2706994

Pia Soma Machinga wachachamaa Mwanza hali ni tete wanarusha mawe kwenye maduka
Mimi nguo zangu nyingi nimenunua kwa wamachinga

Waachwe tu wapate ridhiki kirahisi
 
Back
Top Bottom