Jiwejeusi
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 754
- 131
wazungu hata kama wamezuiwa kuonyesha au kushuhudia lakin lazima watakuwa wameona na marada yao! watatupa feedback siku zijazo! lakin kuna taarifa kuwa familia ya madiba walikuwa 15 wakati wanaenda makaburin lkn ajabu wakati wanarudi baada ya kuzika wakawa 14! Mm na wewe hatujui huyo mmoja kaenda wapi!
hapo ndipo nawakubali wabongo. cheki uongo huu.