Ningeweza kulibeba hili jengo ningefanya hivyo!

Ningeweza kulibeba hili jengo ningefanya hivyo!

Mainjinia wetu toka CoET, UDSM anaenda Site na suti huku anachat kwenye groups kama 10 za whatsapp akil kama hii wataitoa saa ngap
Vipi mkuu joshua_ok na hao wahandisi wa kichina waliokuwa wanasimamia Ujenzi huo hadi Ghorofa kuanguka walikuwa wanachat na magroup mangapi??

Wakati mwingine sio mbaya kutoa credit kwa vitu vya kwetu. Wahandisi wetu wamefanya kazi kubwa sana💪💪💪
 
Vipi mkuu joshua_ok na hao wahandisi wa kichina waliokuwa wanasimamia Ujenzi huo hadi Ghorofa kuanguka walikuwa wanachat na magroup mangapi??

Wakati mwingine sio mbaya kutoa credit kwa vitu vya kwetu. Wahandisi wetu wamefanya kazi kubwa sana💪💪💪
Wahandisi wazawa si ndo walioweka taa za kuongozea magari pale chini ya daraja la TAZARA mchina kaja kuwaaibisha na round about Ubungo
 
Unajua mimi huwa najibu hoja kama ilivyoletwa.
1.) Hoja iliuliza among others kwamba ni nini kimetokea? Nami nikapoint out kwamba inashangaza kuweka picha namba 8 halafu ukauliza nini kimetokea? Hiyo imenishangaza maana kilichotokea kimeoneshwa dhahiri kwenye hiyo picha.

2.) Pia hoja ikahoji juu ya uweledi wa wataalam wa hilo jengo, na ikataka kuwa condemn kwamba ni valaza ( which would have been difficult to comprehend ukizingatia jengo limeanguka zima zima bila hata kipande cha kokoto kumeguka); sasa kwa mtu makini hawezi ku-assume kwamba waliochimba ile shimo ndio waliojenga hilo jengo. Sasa new information imekuja to light kwa hiyo link uliyoleta. Fine, ngoja tujadili hiyo link uliyoleta baada ya initial comments ambazo nilijibu hoja iliyoletwa initially.as was.
Mkuu hilo jengo limeoverturn kwa uzembe wa contractor au designer. kitaalam unapokuwa na slope site inabidi ucheki slope stability na kama slope itakuwa unstable kuna njia za kufanya kuongeza slope stability kama 1)cutting bench 2)reduce the slope angle na kama eneo litakuwa dogo basi utajenga retaining wall. Sasa kosa la designer hapo linaweza kuwa hakucheki slope stability vizuri. Kosa la contractor ni kwenye kumwaga kifusi nyuma ya jengo maana kinaongeza uzito na force kwenye slope hata kama slooe ilikuwa stable kwenye design ila wakati wa design hakuconsider hicho kifusi kitamwagwa hapo basi ndo madhara hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewee ukitaka kuona hilo jengo lilikua katika ubora wa hali ya juu, angalia picha vizuri jengo liko intact bado na limeanguka...

Sasa wangejenga wapigaji si ungekuta vipande vipande kama sahani ya udongo iliyoanguka..

Nadhani hawakuzingatia stability ya udongo upande wa kushoto kama sketch ionyesshavyo
 
Unajua mimi huwa najibu hoja kama ilivyoletwa.
1.) Hoja iliuliza among others kwamba ni nini kimetokea? Nami nikapoint out kwamba inashangaza kuweka picha namba 8 halafu ukauliza nini kimetokea? Hiyo imenishangaza maana kilichotokea kimeoneshwa dhahiri kwenye hiyo picha.

2.) Pia hoja ikahoji juu ya uweledi wa wataalam wa hilo jengo, na ikataka kuwa condemn kwamba ni valaza ( which would have been difficult to comprehend ukizingatia jengo limeanguka zima zima bila hata kipande cha kokoto kumeguka); sasa kwa mtu makini hawezi ku-assume kwamba waliochimba ile shimo ndio waliojenga hilo jengo. Sasa new information imekuja to light kwa hiyo link uliyoleta. Fine, ngoja tujadili hiyo link uliyoleta baada ya initial comments ambazo nilijibu hoja iliyoletwa initially.as was.
Ok sawa sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimependa jinsi lilivyo Lala!! Yaani kama nilikuwa nimesimama mbele ya dressing table yangu najikuta nimelala kwa mgongo huku naendelea kujisoma kwa kioo!! Hapo bado panafaa kuishi bob!! Au lilikuwa la plastic?
[emoji23][emoji23] sio plastiki,wamelijenga kwa ubora sana,
Ndio maana nilitamani kama uwezekano ungekuwepo nilibebe nilipeleke home tuu.tatzo uzembe ulijitokeza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kama mwasilishaji wa mada unakusudia nini. Unauliza huku majibu umetuma mwenyewe. Hilo ni moja, kingine unajiuliza eti kwanini itokee huko kuna wahandisi wazuri, nilidhani bado ungewasifu hao jamaa,maana mjengo unaanguka na bado lipo zima hivyo, halisambaratiki huoni pia ni uhandisi wa hali ya juu? Mimi kwanza hadi nimepunguza asilimia za kuamini hiyo ajali, kama ni kweli basi ujue huo uhandisi ni wa kipekee kabisa.Yani unaweza kupunguza vifo kwa asilimia kubwa mno!
Mimi malalamiko yangu ni uzembe wa hawa jamaa wakati bado wapo kwenye process za ujenzi,Hawakujua kuwa hali hii itatokea wao kama contractors?????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hilo jengo limeoverturn kwa uzembe wa contractor au designer. kitaalam unapokuwa na slope site inabidi ucheki slope stability na kama slope itakuwa unstable kuna njia za kufanya kuongeza slope stability kama 1)cutting bench 2)reduce the slope angle na kama eneo litakuwa dogo basi utajenga retaining wall. Sasa kosa la designer hapo linaweza kuwa hakucheki slope stability vizuri. Kosa la contractor ni kwenye kumwaga kifusi nyuma ya jengo maana kinaongeza uzito na force kwenye slope hata kama slooe ilikuwa stable kwenye design ila wakati wa design hakuconsider hicho kifusi kitamwagwa hapo basi ndo madhara hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani mkuu,Inaonyesha una ufahamu na haya masuala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewee ukitaka kuona hilo jengo lilikua katika ubora wa hali ya juu, angalia picha vizuri jengo liko intact bado na limeanguka...

Sasa wangejenga wapigaji si ungekuta vipande vipande kama sahani ya udongo iliyoanguka..

Nadhani hawakuzingatia stability ya udongo upande wa kushoto kama sketch ionyesshavyo
Ndio mkuu,
issue ya udongo haikutiwa maanani
Ila kwa ubora tunawasifu Kweli kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom