Ningeweza kulibeba hili jengo ningefanya hivyo!

Ningeweza kulibeba hili jengo ningefanya hivyo!

Mkuu angalia hiyo picha namba 8 hilo shimo lilikuwa na slope na mimi naongelea slope ya hilo shimo. na ukiangalia kwa umakini ameionyesha failure ya hiyo slope na unapokuwa na slope yoyote kwenye construction lazima ucheki stability ya slope, na utaona mtaalamu kwenye picha anasema improper support of the excavation Iakini kapoint mshale kwenye slope ya shimo. Na pia mimi kule juu niliongelea vitu viwili slope na kifusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unajichanganya kitu kimoja, WAKATI HILO JENGO LINAJENGWA HILO SHIMO /SLOPE HALIKUWEPO! Sasa utafanya consideration kwa kitu ambacho hakipo? Hao waliokuja kuchimba shimo /slope baada ya jengo kuwa limshasimama ndio ilibidi wafanye consideration ya kulifanyia reinforcement kingo za hilo shimo lao!
 
Wewe jamaa sijui una matatizo gani? picha ya nane uliyoweka imekuelewesha clearly kabisa kilichotokea, kwamba tatizo halikuwa kwa maengineer wala madesigner, tatizo na hao machoko waliochimba shimo kwa mbele kwa ajili ya garage bila kufanyia reinforcement hilo shimo, halafu kifusi wakaenda kukiweka kwa nyuma, mvua ilivyonyesha kingo za shimo zililainika na ukiongeza na uzito wa msukumo wa kifusi walichoweka nyuma ya jengo basi shimo likaporomoka na kuangusha jengo.
Tatizo lugha,font fed na PhD yake anamtoa jasho
 
Hii inaitwa pile foundation Mara nyingi hutumika kwenye udongo ambao haujashikamana Sana kwa kiingereza low bearing shear strength
 
Mainjinia "wazawa" Narudia kuuliza kulikuwa kuna umuhimu gani wa kuweka Taa za kuongozea magari pale TAZARA junction badala ya Round about??
**unatembea kama mita 800 unakutana na taa tena (vingunguti) mita 200 tena taa (jet), airport mita 300 tena taa kama zote, mita 500 (kona ya kuelekea kinyerezi) tena taa aisee mainjinia mmetisha
 
Mainjinia "wazawa" Narudia kuuliza kulikuwa kuna umuhimu gani wa kuweka Taa za kuongozea magari pale TAZARA junction badala ya Round about??
**unatembea kama mita 800 unakutana na taa tena (vingunguti) mita 200 tena taa (jet), airport mita 300 tena taa kama zote, mita 500 (kona ya kuelekea kinyerezi) tena taa aisee mainjinia mmetisha
Watakuzunguka tuu
Hawana majibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mainjinia "wazawa" Narudia kuuliza kulikuwa kuna umuhimu gani wa kuweka Taa za kuongozea magari pale TAZARA junction badala ya Round about??
**unatembea kama mita 800 unakutana na taa tena (vingunguti) mita 200 tena taa (jet), airport mita 300 tena taa kama zote, mita 500 (kona ya kuelekea kinyerezi) tena taa aisee mainjinia mmetisha
Hizo taa kila baada ya mita 200 zimejengwa na mradi wa Tazara au zilikuwepo toka awali?
 
Hizo taa kila baada ya mita 200 zimejengwa na mradi wa Tazara au zilikuwepo toka awali?
Ukiamua kufanya ujenzi kwa lengo kubwa (eg. Kupunguza msongamano airport-CBD) usifanye vipande vipande haraka ilikuwa ya nn? Kubadilisha design ya vingunguti, jet, VETA, azam dry port, kamata hakuhitaji gharama za matrilioni ni ubunifu tu wa kihandisi
 
Ukiamua kufanya ujenzi kwa lengo kubwa (eg. Kupunguza msongamano airport-CBD) usifanye vipande vipande haraka ilikuwa ya nn? Kubadilisha design ya vingunguti, jet, VETA, azam dry port, kamata hakuhitaji gharama za matrilioni ni ubunifu tu wa kihandisi
Ulitaka yote hayo yafanyuke kwa mkupuo? Si kwamba ni hatua kwa hatua? Mfani step1 - BRT phas 1 - 6, step 2 -Tazara flyover, Step 3 - Ubungo flyover na upanuzi njia 6, Step 5- Selander sea bridge, Step 6- Mwenge flyover, Step 7 - SGR, Step 8 - Morocco flyover nk. Hii ni mipango ambayo serikali kupitia msemaji wao Abbas walishaiweka wazi. Tatizo lako nini?
 
Ulitaka yote hayo yafanyuke kwa mkupuo? Si kwamba ni hatua kwa hatua? Mfani step1 - BRT phas 1 - 6, step 2 -Tazara flyover, Step 3 - Ubungo flyover na upanuzi njia 6, Step 5- Selander sea bridge, Step 6- Mwenge flyover, Step 7 - SGR, Step 8 - Morocco flyover nk. Hii ni mipango ambayo serikali kupitia msemaji wao Abbas walishaiweka wazi. Tatizo lako nini?
Mkuu tukubali tu pale TAZARA baada ya kujengwa Daraja hakukupaswa kuwa na taa tena sijui hii design ni ya nani. No wonder pamoja na Daraja foleni kama kawa kwa wanaousubiria taa chini
 
Hapo injinia atakwepa kulipa na kesi ndipo ataamua kukimbilia bongo....

Akifika anachukua tenda za serikali Kama mtaalamu makini wa majengo kutoka nchini china

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mainjinia wetu toka CoET, UDSM anaenda Site na suti huku anachat kwenye groups kama 10 za whatsapp akil kama hii wataitoa saa ngap
COET ipo less than 2 km kutoka Ubungo mataa lkn wamesubiria Mchina aje atuonyeshe Udhaifu!
 
COET ipo less than 2 km kutoka Ubungo mataa lkn wamesubiria Mchina aje atuonyeshe Udhaifu!
Ha ha ha. Wao wanachojua ni kulalama kuwa wananyimwa tenda huko halmashauri za kujenga vizimba vya masoko ya kuuza nyanya ukiingia mule CoET ndo utachoka zaidi chooni maji hamna kinyesi kinalundikana kama magunia ya mahindi sokoni
 
Mainjinia "wazawa" Narudia kuuliza kulikuwa kuna umuhimu gani wa kuweka Taa za kuongozea magari pale TAZARA junction badala ya Round about??
**unatembea kama mita 800 unakutana na taa tena (vingunguti) mita 200 tena taa (jet), airport mita 300 tena taa kama zote, mita 500 (kona ya kuelekea kinyerezi) tena taa aisee mainjinia mmetisha
Hawajatisha ila walichemsha
 
Ha ha ha. Wao wanachojua ni kulalama kuwa wananyimwa tenda huko halmashauri za kujenga vizimba vya masoko ya kuuza nyanya ukiingia mule CoET ndo utachoka zaidi chooni maji hamna kinyesi kinalundikana kama magunia ya mahindi sokoni
Kuna tatizo mahali
 
Wewe jamaa sijui una matatizo gani? picha ya nane uliyoweka imekuelewesha clearly kabisa kilichotokea, kwamba tatizo halikuwa kwa maengineer wala madesigner, tatizo na hao machoko waliochimba shimo kwa mbele kwa ajili ya garage bila kufanyia reinforcement hilo shimo, halafu kifusi wakaenda kukiweka kwa nyuma, mvua ilivyonyesha kingo za shimo zililainika na ukiongeza na uzito wa msukumo wa kifusi walichoweka nyuma ya jengo basi shimo likaporomoka na kuangusha jengo.

Kwani aliyeruhusu kuchimbwe na aliyetoa location ya kumwagwa kifusi ni nan?kama sio wahusika ambao ni timu ya wajenzi
 
Back
Top Bottom