Ningeweza kulibeba hili jengo ningefanya hivyo!

Ningeweza kulibeba hili jengo ningefanya hivyo!

Risk minimization interms of death walijitahidi.Sababu nadhani ni basement ilikua weak in relation to the top ndio maana limeanguka zimazima,haya ndo majengo unakuta udongo hauruhusu kujenga gorofa refu ila unalazimisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na pia mkuu naona kama halikuanza na ground flour. Kuna mabomba ya chuma waliyoanza nayo kama support, sasa yameshindwa kuhimili uzito kutokana na mshituko wa udongo baada ya pembeni mwake kuchimbwa kifusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wakuu,
Katika pita pita zangu nimekutana na hii habari

Shanghai Building Collapses, in China

constructed building in Shanghai toppled over, killing one worker. As can be seen in the photo below, the 13-story apartment building collapsed with just enough room to escape what would have been a far more destructive domino effect involving other structures in the 11-building complex.

Kama sijakosea hii habari inaelezea kuwa
jengo hili lililojengwa huko Shanghai lilianguka na kuua mfanyakazi mmoja. Kama inavyoonekana katika picha hapa chini,

Sasa kilichoniumiza kama kuna contractors wazuri hii hali imetokeaje???means hawakuenda na vipimo????au hawakupima eneo kabla ya ujenzi????
Hebu mnaofahamu haya masuala ya Ukandarasi njooni tusaidiane hapa,sijaelewa elewa.

Yaani kama uwezekano ungekuwepo wa kubebwa majengo kama haya,kama ilivyo kwenye mabanda ya sungura.Hakika ningelibeba nikaliweke home liwe hata la maonyesho tuu[emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1070460
View attachment 1070461View attachment 1070462View attachment 1070464View attachment 1070465View attachment 1070466View attachment 1070468View attachment 1070469View attachment 1070470View attachment 1070471

Sent using Jamii Forums mobile app

ingekuwa tanzania hapa kuanzia mangekimavi,makamanda mtandao,wapenda umbeya wote habari yakuwa tz ni mabogasi dunia nzima ingejua
 
Risk minimization interms of death walijitahidi.Sababu nadhani ni basement ilikua weak in relation to the top ndio maana limeanguka zimazima,haya ndo majengo unakuta udongo hauruhusu kujenga gorofa refu ila unalazimisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Basement au msingi (foundation)? Maana ukiliangalia hamna msingi. Ni kama walianza tu kulipandisha. Ila huko juu ni imara!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wakuu,
Katika pita pita zangu nimekutana na hii habari
Shanghai Building Collapses, in China
constructed building in Shanghai toppled over, killing one worker. As can be seen in the photo below, the 13-story apartment building collapsed with just enough room to escape what would have been a far more destructive domino effect involving other structures in the 11-building complex.
Kama sijakosea hii habari inaelezea kuwa
jengo hili lililojengwa huko Shanghai lilianguka na kuua mfanyakazi mmoja. Kama inavyoonekana katika picha hapa chini,
Sasa kilichoniumiza kama kuna contractors wazuri hii hali imetokeaje???means hawakuenda na vipimo????au hawakupima eneo kabla ya ujenzi????
Hebu mnaofahamu haya masuala ya Ukandarasi njooni tusaidiane hapa,sijaelewa elewa.
Yaani kama uwezekano ungekuwepo wa kubebwa majengo kama haya,kama ilivyo kwenye mabanda ya sungura.Hakika ningelibeba nikaliweke home liwe hata la maonyesho tuu[emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1070460
View attachment 1070461View attachment 1070462View attachment 1070464View attachment 1070465View attachment 1070466View attachment 1070468View attachment 1070469View attachment 1070470View attachment 1070471
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna tatizo kwani wanaweza wakapangisha watu kama lilivyo hasa hosteli.
 
Sasa wewe ndio una matatizo,
Sasa kama walianza ujenzi,au ujenzi ulikuwa kwenye process na hao kama ni wasomi kwa nini wasizuie ilo tatizo mapema????mpaka inacost vitu vya kizembe namna hiyo

Mpaka mimi kuweka link hapa tayar nishaona kila unachotaka kusema

Sent using Jamii Forums mobile app

Unajua mimi huwa najibu hoja kama ilivyoletwa.
1.) Hoja iliuliza among others kwamba ni nini kimetokea? Nami nikapoint out kwamba inashangaza kuweka picha namba 8 halafu ukauliza nini kimetokea? Hiyo imenishangaza maana kilichotokea kimeoneshwa dhahiri kwenye hiyo picha.

2.) Pia hoja ikahoji juu ya uweledi wa wataalam wa hilo jengo, na ikataka kuwa condemn kwamba ni valaza ( which would have been difficult to comprehend ukizingatia jengo limeanguka zima zima bila hata kipande cha kokoto kumeguka); sasa kwa mtu makini hawezi ku-assume kwamba waliochimba ile shimo ndio waliojenga hilo jengo. Sasa new information imekuja to light kwa hiyo link uliyoleta. Fine, ngoja tujadili hiyo link uliyoleta baada ya initial comments ambazo nilijibu hoja iliyoletwa initially.as was.
 
Nimependa jinsi lilivyo Lala!! Yaani kama nilikuwa nimesimama mbele ya dressing table yangu najikuta nimelala kwa mgongo huku naendelea kujisoma kwa kioo!! Hapo bado panafaa kuishi bob!! Au lilikuwa la plastic?
 
Risk minimization interms of death walijitahidi.Sababu nadhani ni basement ilikua weak in relation to the top ndio maana limeanguka zimazima,haya ndo majengo unakuta udongo hauruhusu kujenga gorofa refu ila unalazimisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kifo hapo ni kwa sababu ni nyumba ambazo hazijapangishwa bado wala kukabidhiwa
Yaani jengo limeanguka likiwa tupu bado

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Sijui kama mwasilishaji wa mada unakusudia nini. Unauliza huku majibu umetuma mwenyewe. Hilo ni moja, kingine unajiuliza eti kwanini itokee huko kuna wahandisi wazuri, nilidhani bado ungewasifu hao jamaa,maana mjengo unaanguka na bado lipo zima hivyo, halisambaratiki huoni pia ni uhandisi wa hali ya juu? Mimi kwanza hadi nimepunguza asilimia za kuamini hiyo ajali, kama ni kweli basi ujue huo uhandisi ni wa kipekee kabisa.Yani unaweza kupunguza vifo kwa asilimia kubwa mno!
 
Back
Top Bottom