Ninawashangaa sana wasichana wenye tabia hii

Ninawashangaa sana wasichana wenye tabia hii

mutant gene

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
876
Reaction score
326
Hivi inakuwaje msichana unaamua kumpa mwili wako kaka ambaye hajakuoa au hamko kwenye ndoa!! Hivi huu ujasiri munautoa wapi? Khaa!! mimi hili linanishangaza kwa kweli na kila nikijiuliza huwa sipati jibu ni kwanini huwa mnafanya hivi. wasichana na wanawake mubadilike jamani hii sio tabia kabisa! Hongera kwa wasichana wote waliojitunza mpaka kuolewa na wale ambawo wanaendeleya kujitunza.
 
Endelea na moyo huo huo wa kujitunza hadi siku utakayoolewa na kwa kuonyesha kuwa una nia njema umeona sio mbaya kuja kuwahamasisha wenzio wajitunze.

Hongera sana
 
Karibu dunia ya leo!! Ndoa za siku hizi eti mtu akiwa na kibamia tu au ya punda eti ndoa inakufa! Ndio mana wenzio wanashake b4 use! Ili wawe balanced!! Mweeh napitaaa!!
 
Endelea na moyo huo huo wa kujitunza hadi siku utakayoolewa na kwa kuonyesha kuwa una nia njema umeona sio mbaya kuja kuwahamasisha wenzio wajitunze.

Hongera sana

unataka kunambia mtoa mada mbichiiii!!? Mweeeeh! Kakangu anatafuta mchumba nataka nimpgie debe!!
 
Karibu dunia ya leo!! Ndoa za siku hizi eti mtu akiwa na kibamia tu au ya punda eti ndoa inakufa! Ndio mana wenzio wanashake b4 use! Ili wawe balanced!! Mweeh napitaaa!!

Very true...You said it all!!
 
unataka kunambia mtoa mada mbichiiii!!? Mweeeeh! Kakangu anatafuta mchumba nataka nimpgie debe!!
Mstue bro

Ndo maana kaja kuhamasisha kwa wenzie yeye bado hajawa wazi
 
Hivi inakuwaje msichana unaamua kumpa mwili wako kaka ambaye hajakuoa au hamko kwenye ndoa!! Hivi huu ujasiri munautoa wapi? Khaa!! mimi hili linanishangaza kwa kweli na kila nikijiuliza huwa sipati jibu ni kwanini huwa mnafanya hivi. wasichana na wanawake mubadilike jamani hii sio tabia kabisa! Hongera kwa wasichana wote waliojitunza mpaka kuolewa na wale ambawo wanaendeleya kujitunza.
Hii dengue fever imekuanza vibaya
 
Hivi inakuwaje msichana unaamua kumpa mwili wako kaka ambaye hajakuoa au hamko kwenye ndoa!! Hivi huu ujasiri munautoa wapi? Khaa!! mimi hili linanishangaza kwa kweli na kila nikijiuliza huwa sipati jibu ni kwanini huwa mnafanya hivi. wasichana na wanawake mubadilike jamani hii sio tabia kabisa! Hongera kwa wasichana wote waliojitunza mpaka kuolewa na wale ambawo wanaendeleya kujitunza.

wewe umejitunza?
 
Hivi inakuwaje msichana unaamua kumpa mwili wako kaka ambaye hajakuoa au hamko kwenye ndoa!! Hivi huu ujasiri munautoa wapi? Khaa!! mimi hili linanishangaza kwa kweli na kila nikijiuliza huwa sipati jibu ni kwanini huwa mnafanya hivi. wasichana na wanawake mubadilike jamani hii sio tabia kabisa! Hongera kwa wasichana wote waliojitunza mpaka kuolewa na wale ambawo wanaendeleya kujitunza.


Kwa nini usianze kuwashangaa wavulana/wanaume ambao wanaomba kutafuna papuchi kabla ya kuoa?
 
Hata mimi nawashangaa wanaume wanaolilia papuchi kabla ya ndoa
 
Back
Top Bottom